Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
Pole sana comrade
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
Pole sana.
Pole sana mkuu,
Kazi ya Mungu haina makosa.Tuliobaki tujiulize tumejindaaje?maana hatujui siku wala saa.
R.I.P Baba Kula kwa Tindo.
Hakuna nafsi ambayo haitaonja mauti!Pole sana mkuu. Jipe moyo.
===========================
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama vile kivuli, wala hakai kamwe. AYUBU 14: 1 - 2
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..