Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Ninayo masikitiko makubwa kuwatangazia kifo cha mama yangu mpendwa, Telinala Mtambo kilichotokea ghafla asubuhi ya siku ya leo tarehe 12/03/13 jijini Mbeya.
Mazishi yanategemea kufanyika siku ya ijumaa tarehe 15/03/2012, kwa hapa Dar-es-salaam ndugu, jamaa na marafiki wanakusanyikia nyumbani kwangu Kimara kwa ajili ya mipango ya mazishi.
Safari ya kwenda msibani jijini Mbeya itakua kesho tarehe 14/03/13.
Rambi rambi zinakaribishwa.
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana katika namba za simu zifuatazo: 0717114409/0755312233/0784225000. Amen.
Picha ya baba na mama yangu wiki mbili zilizopita.
Mazishi yanategemea kufanyika siku ya ijumaa tarehe 15/03/2012, kwa hapa Dar-es-salaam ndugu, jamaa na marafiki wanakusanyikia nyumbani kwangu Kimara kwa ajili ya mipango ya mazishi.
Safari ya kwenda msibani jijini Mbeya itakua kesho tarehe 14/03/13.
Rambi rambi zinakaribishwa.
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana katika namba za simu zifuatazo: 0717114409/0755312233/0784225000. Amen.
Picha ya baba na mama yangu wiki mbili zilizopita.