Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

Ndugu wana JF, hasa wadau wenzangu jukwaa la siasa,nimeona kuna umuhimu wa kuwapa tu taarifa kwamba nimepotea kidogo humu ili kujipanga kutokana na vitisho navyokumbana navyo kutokana na michango yangu mbalimbali humu,hasa kuhusiana na misimamo yangu dhidi ya madhaifu ya chama changu cha CCM kuelekea 2015;

kwa wengi,naamini watakubaliana nami kwamba lengo langu limekuwa ni kujenga,sasa hawa wachache kwa mtazamo wao ni kwamba nabomoa chama (CCM) kuelekea 2015;

vitisho hivi havijaanza leo lakini hivi karibuni,kasi imekuwa kubwa zaidi; mbali ya kupokea vitisho,pia nimedokezwa na vyanzo vyangu vya kuaminika sana kuhusu mpango uliopo wa kunidhuru,hivyo niwe makini hasa in the public arena na nimetajiwa wahusika kwa "majina" na "kitaasisi"!

Ni wale walee!.. Wanaowaueni na kuwatesa nyie wanyakyusa!.. Kumbuka waliomtesa ULIMBOKA!.. Waliomtesa KIBANDA,... Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!... Waliomuua MWANGOSI!... waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!... Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!... waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!... Hivyo si vitisho JIHADHARI!... Lisemwalo lipo kama halipo LAJA!...

Watuhumiwa mpaka leo hawajakamatwa!.. Aliyemuua MWANGOSI anapelekwa mahakamani na gari la kifahari kama mfalme (SI KARANDINGA LA MAGEREZA) na kulindwa na polisi si maafisa magereza!... Hii ndiyo Tanzania yetu NCHI YA AMANI!
 
Mchambuzi nakuelewa vizuri sana......Viongozi wa CCM wa sasa wanadhani kazi ya chama ni kubakia madarakani na sio kuongoza nchi. 2015 wewe na mimi tutafurahi kuwa chama pinzani na kukirejesha chama kwenye maadili kwani wale wanaoamini kazi ya CCM ni kubaki madarakani kwa njia yoyote watakua wamekitelekeza chama na kutafuta namna nyingine ya kuendeleza na kulinda maslahi yao binafsi. Probably baadhi watajaribu kudandia chama tawala kipya.
 
Angalia tarehe yako ya kujiunga JF halafu linganisha na hii;
Au kama anajua kusoma table achungulie na hii;

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
ID​
[/TD]
[TD]
NAKEMEAUDINI
[/TD]
[TD]
Mchambuzi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Posts​
[/TD]
[TD]
I89
[/TD]
[TD]
2,675
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Rep Power​
[/TD]
[TD]
343
[/TD]
[TD]
8,327
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Likes Received​
[/TD]
[TD]
22
[/TD]
[TD]
3,411
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Likes Given
[/TD]
[TD]
22
[/TD]
[TD]
2,593
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Join Date
[/TD]
[TD]
12th February 2013
[/TD]
[TD]
24th August 2007
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kweli huu mwaka 2013 umetuletea balaa humu jamvini!
 
nani amekutishia maisha? Mtaje[/QUOTE]

Ni wale walee!.. Wanaowaua na kuwatesa wanyakyusa!.. Kumbuka waliomtesa ULIMBOKA!.. Waliomtesa KIBANDA,... Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!... Waliomuua MWANGOSI!... waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!... Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!... waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!... Hivyo si vitisho JIHADHARI!... Lisemwalo lipo kama halipo LAJA!...

Watuhumiwa mpaka leo hawajakamatwa!.. Aliyemuua MWANGOSI anapelekwa mahakamani na gari la kifahari kama mfalme (SI KARANDINGA LA MAGEREZA) na kulindwa na polisi si maafisa magereza!... Hii ndiyo Tanzania yetu NCHI YA AMANI!
 
Kama wameweza kuua tembo watashindwaje kuua binadamu anaewakera??
Shauri yako,maisha ni haya haya na kila siku ni haya haya..
 
Naomba kutumia nafasi hii kutoa ushauri kwa vijana wetu waliokimbia kutoka kwenye chama cha kidikteta na ki imla kuchukua tahadhari ya maisha yao kwa kuwa wametangaza vita na viongozi wa kiimla wa cdm.
Mtela na Binti yetu shonza tunawategemea muendeleze harakati zenu mkichukua tahadhari hawa jamaa ni hatari wanaweza kutumaliza.
 
Ndugu wana JF, hasa wadau wenzangu jukwaa la siasa,nimeona kuna umuhimu wa kuwapa tu taarifa kwamba nimepotea kidogo humu ili kujipanga kutokana na vitisho navyokumbana navyo kutokana na michango yangu mbalimbali humu,hasa kuhusiana na misimamo yangu dhidi ya madhaifu ya chama changu cha CCM kuelekea 2015;kwa wengi,naamini watakubaliana nami kwamba lengo langu limekuwa ni kujenga,sasa hawa wachache kwa mtazamo wao ni kwamba nabomoa chama (CCM) kuelekea 2015; vitisho hivi havijaanza leo lakini hivi karibuni,kasi imekuwa kubwa zaidi; mbali ya kupokea vitisho,pia nimedokezwa na vyanzo vyangu vya kuaminika sana kuhusu mpango uliopo wa kunidhuru,hivyo niwe makini hasa in the public arena na nimetajiwa wahusika kwa "majina" na "kitaasisi"!

Ndugu zangu,ningependa kuwahakikishia kwamba pamoja na vitisho hivi ambavyo vinaweza kupelekea mtu kuteswa, kuwa sodomized na hata kuuwawa kijasusi, sitaacha kukipigania chama changu cha CCM kwani nafanya hivyo kwa msukumo wa ninacho kiamini,lakini hasa mapenzi yangu kwa nchi yangu ya Tanzania,na nina amini kwa dhati kabisa matatizo ya sasa ya CCM ni matokeo ya waharibifu wachache ambao watapita tu na kwenda zao na kutuachia chama ambacho ili kirudi katika uimara wake,kitahitaji ujenzi mpya (ndani au nje ya ikulu).

Nahitaji sana sala zenu,

Mungu ibariki Tanzania.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Kazi hii inafanywa na nani?!!!!!!... Bila shaka Ni wale wale waliomtesa ULIMBOKA!.. Waliomtesa KIBANDA,... Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!... Waliomuua MWANGOSI!... waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!... Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!... waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!... Hivyo si vitisho JIHADHARI!... Lisemwalo lipo kama halipo LAJA!...

CHA AJABU Watuhumiwa HUWA hawakamatwi!.. Hata wakikamatwa hupelekwa mahakamani magari ya kifahari kama wafalme (SI MAKARANDINGA YA MAGEREZA) na kulindwa na polisi si maafisa magereza!... Hii ndiyo Tanzania yetu NCHI YA AMANI!
 
Na mimi napokea vitisho kutoka vyombo vya dola sijui nifungue thread yangu na mimi nikombe maujiko?
 
Pole sana Mkuu Mchambuzi.....Ila ni vizuri tukajiuliza maswali yafuatayo:
  1. Wamekutambua pamoja na kutumia hiden ID?na kama ndivyo ni kwa kiasi gani JF members wapo salama katika hili wimbi la kung`olewa kucha?
  2. Ukiona vipi waachie lichama lao karibu huku....:rockon:

Mkuu huyu MCHAMBUZI aliwahi kujitambulisha kuwa yeye ni mtoto wa Mwambulukutu!... HIVYO NI MNYAKYUSA!.. Hawa ni victim wa uhalifu huu kwa miaka ya karibuni!

Wanauwa na kuteswa na watu walionyuma ya pazia!!!!... Kumbuka waliomtesa ULIMBOKA!.. Waliomtesa KIBANDA,... Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!... Waliomuua MWANGOSI!... waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!... Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!... waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!...
 
Kwa akili zako finyu unadhani kwa vile unatumia jina feki hapa basi huwezi kujulikana.

Yaani unajiona uko secure kweli kwa kutumia jina lako feki la NAKEMEAUDINI.

But the button line humjui Mchambuzi ni nani na kama humjui ni bora kuuliza kuliko kuanika hadharani ujinga wako.

Ungekuwa unamjua Mchambuzi ni nani lazima ungekula matapishi yako yote na ya wengine wote walioandika kama wewe.

Kuuliza siyo ujinga, but ignorance is bliss.
sidhani kama atakuelewa,siunajua wengine wana ubongo wa samaki!
 
We mjanja sana hapo kwenye CCM weka Chadema ndo utajua Mwandishi ana maana gani.
Kweli Great Thinkers tuko wachache sana.
Wengi waliochangia ni Mbulura hawajui unalenga nini,wameingia wazima wazima teh teh teh.
 
Pole Mchambuzi ..........intimidations kama hizo hazikosekanagi. Kuwa makini ila baada ya kusema hivi watakupotezea. Badili ID ndelea na kazi

Nakumbuka Mchambuzi aliwahi kujitambulisha kuwa ni mtoto wa mwanasiasa Mwambulukutu!!!!
Sasa angalia madhila yanayowapata wanyakyusa pengine kwa bahati mbaya au ni walengwa!..
Kumbuka waliomtesa ULIMBOKA!..
Waliomtesa KIBANDA,...
Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!...
Waliomuua MWANGOSI!...
waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!...
Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!...
waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!...
Hivyo si vitisho AJIHADHARI!...
Lisemwalo lipo kama halipo LAJA!...


 
Pole sana Mkuu wangu Mchambuzi:
Binafsi, maisha ni marefu sana lakini ni mabaya sana...hivyo wakati fulani kifo huwa suluhisho bora. Hata hivyo, kila mwanadamu ana nafasi na wajibu wake kwa jamii yake, kama umeshaicheza vizuri nafasi yako, basi atafutae uhai wako anajisumbua.
HAKUNA HAJA YA KUOGOPA KIFO, KAMA TU TUMESHACHEZA VIZURI NAFASI NA WAJIBU WETU TULIONAO KWA WATU WETU. Hapo sasa inatulazimu kujihami kwa kutopoteza muda hata kidogo katika kucheza nafasi zetu, kwani ni ukweli kuwa WANAHARAMU NI WENGI, wasije wakasitisha uhai wetu kabla nafasi yetu hatujaicheza, kwa uvivu wetu wa kufikiria tu kwamba kesho ipo, TUTAPOTEZA na kufa kama mbwa.
HUU NI WAKATI WA KUZIFANYA FIKRA ZETU HAI, MAANA KIFO KI KARIBU MNO. Tukifanya fikra zetu hai, milele hazitakufa nasi milele tutakumbukwa. Na huko ndio kuishi tena hata baada ya kifo chetu.
Pole sana Mkuu.
Mungu wetu yu tayari kutupigania. Anaita sasa.
 
dah!!! Mchambuzi kaka yangu wanataka wakupoteze kama dagaa kwenye bwawa la kambale sio??
ama kweli atakaye lia ni mama yako.

back 2005 ukumbi wa tume ya jiji, sitokaa nisahau.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu Mchambuzi, Mungu atakulinda na mabaya yote!
Hila zao zitawarudia wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
mhh Bw. Mchambuzi.....I've read your post and have been going through the comments and i'm just dumbfounded! I've never encountered a people with so much love for their country, that i SALUTE YOU guys.
Personaly, i don't think i'll ever die for my country, i'm just too afraid. Labda utasema sina uchungu na wanaoteseka, HAPANA. I feel ashamed that other people have to be 'sacrifices' for my sake.
For those like you interested in politics, i know without raising your voices there will be no change for all of us. But your life, Bw. Mchambuzi, is too precious. Isn't there a way you could help our country without necessarily putting your life in danger?
Is staying in CCM the only way to bring changes? Sishabikii uhamie chama chochote (alothough, HONESTLY, i'm definatlely not a 'fan' of CCM anymore), but weighing the price you have to pay and what you can do, DO YOU REALY NEED TO STAY IN CCM?? 🙁 🙁. Just my thoughts
 
Mnataka mabadiliko ndani ya ccm? Fukuzeni kwanza Kikwete na familia yake
 
Back
Top Bottom