Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

"Ndugu zangu,ningependa kuwahakikishia kwamba pamoja na vitisho hivi ambavyo vinaweza kupelekea mtu kuteswa, kuwa sodomized na hata kuuwawa kijasusi, sitaacha kukipigania chama changu cha CCM kwani nafanya hivyo kwa msukumo wa ninacho kiamini,lakini hasa mapenzi yangu kwa nchi yangu ya Tanzania"

Ni dhahiri sasa kwamba you can no longer fight the system from within as it amounts to commiting suicide!

Now you have two options though:
1. To continue your crusade for a better Tanzania from without! which entails you to decamp officially in public from CCM and join the other like minded forces to advance the cusade for a second liberation. OR

2. Conventional wisdmom goes like this; if you can not fight them; join them, kwa hiyo kaka ufyate mkia ujiunge na walaji wanaofanya mambo usiyoyaamini lakini kwa woga wako umeamua kuwabariki kwa kujiunga nao.

kazi kwako kusuka au kunyoa!
Remember to Stay alive; The dead dont count and Life is for the living! matrys only have a place in the anals of history if they were lucky to leave behind them a greatful nation when they passed on to God knows!! where!
 
Usalama wako uko hatarni vipi?Nadhani CCM huwa wanasema vipo vikao vya Chama,kama una maoni kwa nii hutoi kule.
Kwa hiyo nadhani wee ,Good Man,toa maoni hapa na kule,au usitoe maoni hapa,toa maoni katika vikao vya Chma.
 
Pole sana Mkuu ujichunge sana na pia kuacha kabisa matembezi ya usiku ukiwa peke yako.

kaka unataka kuwa sodomized au unapenda kuwa sodomized make nimesoma kwa makini sana naona kama kuna vitu vingine unavitaka kama hao wahusika umetjiwa wapeleke polisi.
 
Mkuu Mchambuzi!
Asante kwa Angalizo Lako ila nikupongeze kwa kusimamia ukweli kwani ukweli umuweka mtu huru....kufa ikiwa umesimama Mkuu na sio ukiwa umepiga magoti.
 
Mi nimechoka na kusikia maneno haya (wabaya wangu nawajua na ipo siku ntawataja), Ndugu Mchambuzi sasa kama hao watu umetajiwa nawe umejiridhisha kuwa ndo wenyewe wanaokuwinda, so what are you waiting 4 to mention their names on public?????Hebu jifunze kwa Dr. Slaa na list of SHAME aliyoilipua pale Mwembeyanga pia Mengi mbona yeye huwa anataja wabaya wake hadharani na wala haweki viporo?.Uwazi will always sets you free na hutakaa na maisha ya kuogopa as long as watu wote watajua kitakachokupata aliyetajwa ndo atakuwa accountable pia hatakuwa na amani na macho ya watu........
 
Pole mkuu ila Mungu mkubwa. CCM wakiwa na tatizo wao dawa yao ni kuyaficha hayo matatizo kwa gharama yeyote ile wakithani kuwa ni dawa.
 
Mchambuzi,

Mimi siku zote huwa na wonder are you a he or a she , picha yako huwa siielewi elewi kabisa.
 
kaka unataka kuwa sodomized au unapenda kuwa sodomized make nimesoma kwa makini sana naona kama kuna vitu vingine unavitaka kama hao wahusika umetjiwa wapeleke polisi.

Namshauri hivi....

1- Peleka majina husika kwa wakili anayeaminika,
2- Fungua jalada la taarifa Polisi
3- Nunua saa inayorecord sauti na video, pia iwe na Siren Alarm,
4- Nyumbani kwako nje uwe na cctv camera/Video alarm
5- kuwa na utaratibu wa kutembea na pepper can ili wakikuvamia basi waweza kuwapulizia machoni
6- Usipende kuhudhuria sehemu hatarishi
7- Usijifichefiche wala kutumia vichochoro
8- Usipende kuwa mkweli wa directions zako isipokuwa tu kwa watu wanaojua masahibu yako
9- Ukiwa na uwezo weka mtu atakayekuwa anafanya surveillance yako/sweepman
10- Tumia GPS phone ambayo wife or ralative atakuwa anatrack kila uendapo
 
Usalama wako uko hatarni vipi?Nadhani CCM huwa wanasema vipo vikao vya Chama,kama una maoni kwa nii hutoi kule.
Kwa hiyo nadhani wee ,Good Man,toa maoni hapa na kule,au usitoe maoni hapa,toa maoni katika vikao vya Chma.

Mzee Andrew Nyerere naona kumbukumbu zimekutoka, kumbuka Kolimba walimfanya nini kwenye vikao? Hawa Mafisadi wakikuandama hata uende kwa waasisi wa chama, bado watahakikisha wanatimiza mambo yao.

CCM ni Chama cha Majangili hawana tofauti na Hitler au GW Bush
 
"Vitisho hivi havijaanza leo lakini hivi karibuni,kasi imekuwa kubwa zaidi; mbali ya kupokea vitisho,pia nimedokezwa na vyanzo vyangu vya kuaminika sana kuhusu mpango uliopo wa kunidhuru,hivyo niwe makini hasa in the public arena na nimetajiwa wahusika kwa "majina" na "kitaasisi"!

Swali: Je umeripoti mamlaka za usalama? Wewe ni nani nchi hii mpaka wakudhuru? Una nn? Baasii Polleeee!!!
 
Namshauri hivi....

1- Peleka majina husika kwa wakili anayeaminika,
2- Fungua jalada la taarifa Polisi
3- Nunua saa inayorecord sauti na video, pia iwe na Siren Alarm,
4- Nyumbani kwako nje uwe na cctv camera/Video alarm
5- kuwa na utaratibu wa kutembea na pepper can ili wakikuvamia basi waweza kuwapulizia machoni
6- Usipende kuhudhuria sehemu hatarishi
7- Usijifichefiche wala kutumia vichochoro
8- Usipende kuwa mkweli wa directions zako isipokuwa tu kwa watu wanaojua masahibu yako
9- Ukiwa na uwezo weka mtu atakayekuwa anafanya surveillance yako/sweepman
10- Tumia GPS phone ambayo wife or ralative atakuwa anatrack kila uendapo
1 - 10 ni maisha gani hayo, atakuwa nusu jela kabisa. Hahahaha! Mchambuzi anajua nini cha kufanya na wapi ni salama. Hapa nikujaribu kuhalalisha mission baada ya masaibu yote hayo.
 
Laiti kama wana CCM wangekuwa kama wewe mambo yangekuwa mazur! Ona
Leo ni mara nyngine nafurah kupia Comments za watu si za kushutumiana 7bu mwana ccm aliyeleta mada anauelewa mkubwa
kuliko wengne wanaoletaga mada humu au kuchangia ni pumba tupu
hoja/topic kwa coment nyepes
mkuu Mchambuzi hamia CDM!!
 
Last edited by a moderator:
tenende kama hii pia ni ID ya propaganda ya CDM basi chama kimekosa waongozaji, kitengo cha wapambanaji wa mtandaoni kilikuwa na afadhali alipokuwepo Ludo siku hizi vijana mnajiandikia tu ilimradi muoneshe idadi ya posts kwa mabwana zenu.

Kwa hiyo Nduka ni ID ya propaganda za CCM? Haya Makubwa si ajabu umetumwa na Nape!
 
Ingefaa hii thread itoke kwenye gazeti ili idadi kubwa ya watanzania ijue ccm inavyofanya siasa za vitisho, utekaji na uuaji.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ingefaa hii thread itoke kwenye gazeti ili idadi kubwa ya watanzania ijue ccm inavyofanya siasa za vitisho, utekaji na uuaji.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Au mrekodini Mtambuzi kwenye DVD muuze kama zile za mauaji ya Arusha cc Lwakatare, Ludovick, Bukoba boy.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi wengine mnashangaza,unapopewa taarifa za kiintelejinsia mara nyingi hazina ushahidi wa wazi kiasi cha kuupeleka ktk vyombo vya usalama hasa kama umepewa tahadhari na wanausalama waungwana tu!

Mchambuzi anaweza kutumia vitisho anavyopata direct kutoa taarifa lakini kwa hali ya sasa ya vyombo vyetu vya ulinzi ni bora uwe na mbinu binafsi za kujilinda kama ambavyo naamni Mchambuzi anafanya sasa!

Haya yana mwisho na kibaya zaidi hao wanaojiona ni kila kitu sasa ktk utawala huu soon hawatakuwa ktk system na wanatengeneza mazingira ya visasi!

Life goes on! Tusiishi kama hakuna kesho!
 
Back
Top Bottom