Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

unaomba tukoombee, halafu unasema wanaotaka kukuua unawajua kwa majina halafu hauwataji, una maana gani??????? halafu bado uko ccccmmmm????? ni upuuzi tu???? unataka uwe sympathsized wakati hutaki kuwataja watesaji, wewe sio kamanda wala mpiganaji uko kwenye siasa as ( bandwagon). MWOGA MKUBWA, mpiganaji haogopi kifo. BORA KUFA UMESIMAMA KULIKO KUISHI UMEPIGA MAGOTI UKIOMBA MSAMAHA NA WATU WAKUOMBEE.
 
Ndugu wana JF, hasa wadau wenzangu jukwaa la siasa,nimeona kuna umuhimu wa kuwapa tu taarifa kwamba nimepotea kidogo humu ili kujipanga kutokana na vitisho navyokumbana navyo kutokana na michango yangu mbalimbali humu,hasa kuhusiana na misimamo yangu dhidi ya madhaifu ya chama changu cha CCM kuelekea 2015;kwa wengi,naamini watakubaliana nami kwamba lengo langu limekuwa ni kujenga,sasa hawa wachache kwa mtazamo wao ni kwamba nabomoa chama (CCM) kuelekea 2015; vitisho hivi havijaanza leo lakini hivi karibuni,kasi imekuwa kubwa zaidi; mbali ya kupokea vitisho,pia nimedokezwa na vyanzo vyangu vya kuaminika sana kuhusu mpango uliopo wa kunidhuru,hivyo niwe makini hasa in the public arena na nimetajiwa wahusika kwa "majina" na "kitaasisi"!

Ndugu zangu,ningependa kuwahakikishia kwamba pamoja na vitisho hivi ambavyo vinaweza kupelekea mtu kuteswa, kuwa sodomized na hata kuuwawa kijasusi, sitaacha kukipigania chama changu cha CCM kwani nafanya hivyo kwa msukumo wa ninacho kiamini,lakini hasa mapenzi yangu kwa nchi yangu ya Tanzania,na nina amini kwa dhati kabisa matatizo ya sasa ya CCM ni matokeo ya waharibifu wachache ambao watapita tu na kwenda zao na kutuachia chama ambacho ili kirudi katika uimara wake,kitahitaji ujenzi mpya (ndani au nje ya ikulu) wa kuzungumza tena na the common man na kuelewana nae, na hivyo ndivyo tutaweza kuleta ushindani wa kweli dhidi ya chama makini cha chadema au chama chochote kingine; Lakini ni muhimu kwa wana CCM wenzangu tukubali ukweli kwamba sasa ni chama cha watu,sio chama cha viongozi;pia tuwe consistent,tusiwe watetezi wa ccm kutokana na awamu au nani yupo ikulu basi tuwe watetezi wa ccm kutokana na mapenzi yetu ya kwa taifa ambapo chama ni njia pekee ya kuboresha taiga hilo kupitia uongozi;

Vinginevyo CCM kamwe haiwezi kufa lakini pia ni dhahiri kwamba CHADEMA nayo haiwezi kufa,kwahiyo wana CCM wenzangu,hasa vijana wa sasa na wa baadae, tusipoteze muda kwa kujidanganya juu ya hilo; nadhani ni muhimu sasa tufikie level of maturity in liberal democracy na kukubali kwamba CHADEMA is here to stay,and just like sisi CCM, cHADEMA (na wapinzani wengine) wana haki ya kutafuta ridhaa ya wananchi kushika dola ili kuwaongoza kuelekea Tanzania yenye neema; CCM tukifanikiwa kutambua ukweli huu, basi uelewa huu utakuwa ni mwanzo mkubwa sana wa mageuzi makubwa sana ndani ya chama chetu kwani kwanza tunahitaji mageuzi ya fikra;tukiweza hilo, tutaanza kuwa washindani wa hoja badala ya viroja na jazba na hivyo kufanikiwa kurudisha imani ya umma kwa chama chetu ambayo inazidi kuzorota kuelekea 2015; Vijana wenzangu,tuhamie kwenye siasa za hoja mbele ya wananchi zenye outcome ya kupokezana vijiti kwa amani na utulivu kwani hiyo ndio maana ya kukubali demokrasia ya uliberali 1992;kwenye demokrasia nyingi zenye mafanikio, vyama hupokezana uongozi wa nchi kwa amani na utulivu,na anayeshindwa huchukulia hilo kama changamoto ya kujipanga upya;ChADEMA kutushinda CCM uchaguzi ngazi ya udiwani,ubunge na hata urais doesn't mean it is the end na badala yake it should mark a new beginning and an era inayotawaliwa na mapinduzi ya kifikra; Kujiita chama cha mapinduzi sasa iwe na maana ya mapinduzi ya fikra;katika hili,naamini kabisa ndani ya CCM huko Lumumba na kwingineko kwenye nafasi za maamuzi, wapo vijana wenye uwezo to set a precedent kwa wadogo zetu waliopo huko mashuleni,vyuoni n.k,hasa wale ambao bado wana imani na CCM;ni suala la uamuzi tu kwa vijana wana ccm katika nafasi husika,na pia, mshikamano miongoni mwao hasa dhidi ya divisive forces, na vile vile kuweka maslahi ya taifa mbele kabla ya maslahi ya chama; the precedent ni muhimu kwa vijana watakaotufuatia baadae kuja kuimarisha na kugeuza utamaduni wa ovyo na ubabaishaji mkubwa ndani ya CCM ya leo;

Vijana wenzangu,muwe ni wana CCM au wana, CHADEMA...naamini kabisa kwamba wengi wetu lengo ni moja - kuboresha maisha ya watanzania,na iwapo inatokea tunapishana,basi ni juu ya jinsi gani au njia bora zaidi ya kufikia lengo husika; Kama zitto alivyopata nena kwenye kipindi kimoja cha star tv mwishoni mwa mwaka jana,vijana tuna haja ya kuacha kuiga siasa za wazee zilizojaa majungu,fitina na visasi,badala yake tuungane kujenga taifa letu kwa ari mpya,na iwapo tunatofautiana basi iwe kwa hoja juu ya jinsi gani kila chama kinaamini njia ipi ni bota katika kufikia Tanzania yenye neema kwa maslahi ya walio wengi,huku tukiachia wananchi kufanya maamuzi baada ya kuchekecha hoja;

Nahitaji sana sala zenu,

Mungu ibariki Tanzania.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Habari hii ni ndefu sana lakini bahati mbaya mwandishi amekwepa kutiririka.
Ameweka mambo yote pamoja na inatia shaka kuhusu aunthetinticity.
Chahali alitishiwa maisha lakini angalau alitupa picha ya hata jinsi alivyozipata habari lakini kwa hii ya leo mapungufu ni mengi.
Funguka kidogo ndugu!!!!
 
mkuu mchambuzi, your post has got all the hallmarks of someone who's looking elsewhere.

is this meant to be a parting shot to CCM?

or is it me?
 
Pole sana Mchambuzi. Tunashukuru kwa taarifa, unazo sala na dua zetu kaka.

Kwa uzi wako, naomba sasa ijulikane rasmi na waziwazi kuwa CCM sasa inafanya umafia nchini kwa msaada wa kodi zetu kupitia Taasisi za Umma. Ole wetu tusipochukua hatua madhubuti mapema!
 
Pole sana Mchambuzi.

Usilazimishe kuwa kwenye mazingira hatarishi, huwakosoi ccm kwa kuwa una wachukia sana, unafanya hivyo kwa kuwa una mapenzi ya dhati dhidi ya chama ambacho hakina mapenzi ya dhati juu yako. Uamuzi ni wako. Chukua hatua.
 
Last edited by a moderator:
Chomoka huko mkuu, au sasa hivi tutasikia umeondolewa meno na kucha bila ganzi maana serikali ya ccm imekuwa ya mafia. Tunashuhudia mambo ambayo hatujawahi kuyaona katika awamu zilizo pita. Hii awamu ya nne itaacha historia ya mateso makubwa kwa waTZ, hatutaisahau awamu ya Kikwete kwa matukio ya kutisha.Yote hii sababu ya mtawala legelege
 
uongo dhambi , wataje majina na Taasisi, au ndio kuutafuta umarufu wa bei chee
 
Maneno yako ya busara sana, nitajisikia vibaya sana kukupoteza kijana kama wewe, nilitegemea vijana kama wewe wengepongezwa na kuenziwa lakini, dogo CCM imekosa mwelekeo, kwa sasa chama sio salama hata kidogo kiko mikononi mwa majambazi, mijizi, milafi na watenda maovu bila wazi wazi bila aibu, kwa sababu wanajeuri ya pesa na Dora. Kijana tumia busara uko kwenye treni iendayo speed, na umeshoona mbele reli imemeng'olewa unangoja nini ...

Ndugu wana JF, hasa wadau wenzangu jukwaa la siasa,nimeona kuna umuhimu wa kuwapa tu taarifa kwamba nimepotea kidogo humu ili kujipanga kutokana na vitisho navyokumbana navyo kutokana na michango yangu mbalimbali humu,hasa kuhusiana na misimamo yangu dhidi ya madhaifu ya chama changu cha CCM kuelekea 2015;kwa wengi,naamini watakubaliana nami kwamba lengo langu limekuwa ni kujenga,sasa hawa wachache kwa mtazamo wao ni kwamba nabomoa chama (CCM) kuelekea 2015; vitisho hivi havijaanza leo lakini hivi karibuni,kasi imekuwa kubwa zaidi; mbali ya kupokea vitisho,pia nimedokezwa na vyanzo vyangu vya kuaminika sana kuhusu mpango uliopo wa kunidhuru,hivyo niwe makini hasa in the public arena na nimetajiwa wahusika kwa "majina" na "kitaasisi"!

Ndugu zangu,ningependa kuwahakikishia kwamba pamoja na vitisho hivi ambavyo vinaweza kupelekea mtu kuteswa, kuwa sodomized na hata kuuwawa kijasusi, sitaacha kukipigania chama changu cha CCM kwani nafanya hivyo kwa msukumo wa ninacho kiamini,lakini hasa mapenzi yangu kwa nchi yangu ya Tanzania,na nina amini kwa dhati kabisa matatizo ya sasa ya CCM ni matokeo ya waharibifu wachache ambao watapita tu na kwenda zao na kutuachia chama ambacho ili kirudi katika uimara wake,kitahitaji ujenzi mpya (ndani au nje ya ikulu) wa kuzungumza tena na the common man na kuelewana nae, na hivyo ndivyo tutaweza kuleta ushindani wa kweli dhidi ya chama makini cha chadema au chama chochote kingine; Lakini ni muhimu kwa wana CCM wenzangu tukubali ukweli kwamba sasa ni chama cha watu,sio chama cha viongozi;pia tuwe consistent,tusiwe watetezi wa ccm kutokana na awamu au nani yupo ikulu basi tuwe watetezi wa ccm kutokana na mapenzi yetu ya kwa taifa ambapo chama ni njia pekee ya kuboresha taiga hilo kupitia uongozi;

Vinginevyo CCM kamwe haiwezi kufa lakini pia ni dhahiri kwamba CHADEMA nayo haiwezi kufa,kwahiyo wana CCM wenzangu,hasa vijana wa sasa na wa baadae, tusipoteze muda kwa kujidanganya juu ya hilo; nadhani ni muhimu sasa tufikie level of maturity in liberal democracy na kukubali kwamba CHADEMA is here to stay,and just like sisi CCM, cHADEMA (na wapinzani wengine) wana haki ya kutafuta ridhaa ya wananchi kushika dola ili kuwaongoza kuelekea Tanzania yenye neema; CCM tukifanikiwa kutambua ukweli huu, basi uelewa huu utakuwa ni mwanzo mkubwa sana wa mageuzi makubwa sana ndani ya chama chetu kwani kwanza tunahitaji mageuzi ya fikra;tukiweza hilo, tutaanza kuwa washindani wa hoja badala ya viroja na jazba na hivyo kufanikiwa kurudisha imani ya umma kwa chama chetu ambayo inazidi kuzorota kuelekea 2015; Vijana wenzangu,tuhamie kwenye siasa za hoja mbele ya wananchi zenye outcome ya kupokezana vijiti kwa amani na utulivu kwani hiyo ndio maana ya kukubali demokrasia ya uliberali 1992;kwenye demokrasia nyingi zenye mafanikio, vyama hupokezana uongozi wa nchi kwa amani na utulivu,na anayeshindwa huchukulia hilo kama changamoto ya kujipanga upya;ChADEMA kutushinda CCM uchaguzi ngazi ya udiwani,ubunge na hata urais doesn't mean it is the end na badala yake it should mark a new beginning and an era inayotawaliwa na mapinduzi ya kifikra; Kujiita chama cha mapinduzi sasa iwe na maana ya mapinduzi ya fikra;katika hili,naamini kabisa ndani ya CCM huko Lumumba na kwingineko kwenye nafasi za maamuzi, wapo vijana wenye uwezo to set a precedent kwa wadogo zetu waliopo huko mashuleni,vyuoni n.k,hasa wale ambao bado wana imani na CCM;ni suala la uamuzi tu kwa vijana wana ccm katika nafasi husika,na pia, mshikamano miongoni mwao hasa dhidi ya divisive forces, na vile vile kuweka maslahi ya taifa mbele kabla ya maslahi ya chama; the precedent ni muhimu kwa vijana watakaotufuatia baadae kuja kuimarisha na kugeuza utamaduni wa ovyo na ubabaishaji mkubwa ndani ya CCM ya leo;

Vijana wenzangu,muwe ni wana CCM au wana, CHADEMA...naamini kabisa kwamba wengi wetu lengo ni moja - kuboresha maisha ya watanzania,na iwapo inatokea tunapishana,basi ni juu ya jinsi gani au njia bora zaidi ya kufikia lengo husika; Kama zitto alivyopata nena kwenye kipindi kimoja cha star tv mwishoni mwa mwaka jana,vijana tuna haja ya kuacha kuiga siasa za wazee zilizojaa majungu,fitina na visasi,badala yake tuungane kujenga taifa letu kwa ari mpya,na iwapo tunatofautiana basi iwe kwa hoja juu ya jinsi gani kila chama kinaamini njia ipi ni bota katika kufikia Tanzania yenye neema kwa maslahi ya walio wengi,huku tukiachia wananchi kufanya maamuzi baada ya kuchekecha hoja;

Nahitaji sana sala zenu,

Mungu ibariki Tanzania.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
You will never have good health if you keep your mouth in the kitchen of your enemy, CCM ni adui wa watanzania drop it usije kufa kibudu, huwezi kuibadili CCM ni chama cha waovu tena the ossified orthodoxies determined to kill every good and innocent citizen of this nation.
 
Mkuu usijali au jaribu kutumia mbinu za marcossy m.a
 
Last edited by a moderator:
Wataje hadharani, la sivyo itakuwa kama unapoteza muda. Threads zako za muungano na kundi la ujamaa CCM pamoja na kucriticize CDM na CCM ... vitisho vinaweza kutoka sehemu mbalimbali.

Cha muhimu zaidi ni kuwaangalia walio karibu na wewe ... usiangalie mbali.
 
Back
Top Bottom