Taarifa kwa vyombo vya habari

Taarifa kwa vyombo vya habari

Nimesoma maelezo yako.Ni wazi umeandika taarifa yako ukiwa na jazba kubwa,matokeo yake hujatumia busara.Binafsi nimekupuza kwa vile huna hoja zenye mashiko zaidi ya kulialia. Kabla ya kuandika ulipaswa kutuliza kwanza jazba,huenda ungeeleweka. Kama unawaza kwamba utafanikiwa kukiharibu Chadema umekosea sana. Wasaliti wote wataumbuka ndani ya Chadema.Viva CHADEMA!
 
ONYO - CHADEMA aihujumiki ! KAMA UMECHUKUA HELA YA WATU RUDISHA ! VINGINEVYO UTAAIBIKA VIBAYA SANA !
 
Kwa hiyo unahangaika na kuing'oa CDM sio Magamba?
Au mnafanya hivyo ili magamba yapandishe umeme bei ili wananchi tupate kuumia eeh?
Kwanini msianzishe chama lenu ili mfuate mlengo mnaoutaka?
Si mmesema mko wengi sana mnaotaka mabadiliko? kigugumizi cha nini sasa?
Nyinyi mnataka mabadiliko ya CDM sio serikali inayotufanya kuwa na maisha magumu?
Aaah! mnafurahisha sana kama sio kuudhunisha sana!
Mimi nilizani mnataka kuiondoa kwanza magamba madarakani bwana, kumbe CDM?
Msitupigie kelele mitandaoni, anzisha chama chenu na mtwambie sela zenu labda tutawafikiria baadae.
 
Sasa nimeamini, CHADEMA ni mpango wa Muumba/Mungu/Allah/Yehova kutukomboa Watanzania. Yaani mashetani yanajitokeza kadamnasi mchan kweupe. Fikiria ni nini kingetokea baadae kama yangeedelea kuficha usheitwani wao kwa kuvaa ngozi ya kondoo! Napanga kujiunga na CDM rasmi. Lakini kama wataliacha likiranja la mashetani kuendelea na uanachama, basi nitabakia raia mwema bila chama.
 
A dead man walking! I remember during Iraq invasion Saddam's information minister used to be like this guy! It is too little to late to catch a bus.
 
Sasa nimeamini, CHADEMA ni mpango wa Muumba/Mungu/Allah/Yehova kutukomboa Watanzania. Yaani mashetani yanajitokeza kadamnasi mchan kweupe. Fikiria ni nini kingetokea baadae kama yangeedelea kuficha usheitwani wao kwa kuvaa ngozi ya kondoo! Napanga kujiunga na CDM rasmi. Lakini kama wataliacha likiranja la mashetani kuendelea na uanachama, basi nitabakia raia mwema bila chama.

Likiranja la mashetani! ndiyo Zitto ama?
 
Nyakarungu pumba najua ilikuwa miongonibmwa masalia ila chadema hakika mpango wa Mungu huyu jamaa anajifanya dk alufanya postmortem tarime nilidhani ana akili alubadilika bada ya kukosa umwenyekiti bavicha
 
Ukweli mtupi
Ondoeni uozo huo cdm
Watu wanakula maposho tu
 
Mkuu, kwani huwezi kufanya uasi bila ya kutegemea mgongo wa Zitto na Mkumbo? Wao watuhumiwa wamesema watafuata taratibu za chama, wewe usiye mtuhumiwa unasema hukubaliani nao, kwa nini usiondoke kivyako hadi usikie Zito na Mkumbo wamesema kile unachotaka wewe? Ukiwa na msimamo unaouamini hauna haja ya kumfuata mtu fulani
Go, Nyakarungu, go!
Kwani nyakarungu ndio nani? ana nafasi gani cdm? mbona mi ndo kwanza namsikia leo!
 
Ndugu Nyakarungu umetoa tamko kama yale matamko aliyokuwa akiyatoa Brigadier Okello baada ya mapinduzi kule Zanzibar!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo unahangaika na kuing'oa CDM sio Magamba?
Au mnafanya hivyo ili magamba yapandishe umeme bei ili wananchi tupate kuumia eeh?
Kwanini msianzishe chama lenu ili mfuate mlengo mnaoutaka?
Si mmesema mko wengi sana mnaotaka mabadiliko? kigugumizi cha nini sasa?
Nyinyi mnataka mabadiliko ya CDM sio serikali inayotufanya kuwa na maisha magumu?
Aaah! mnafurahisha sana kama sio kuudhunisha sana!
Mimi nilizani mnataka kuiondoa kwanza magamba madarakani bwana, kumbe CDM?
Msitupigie kelele mitandaoni, anzisha chama chenu na mtwambie sela zenu labda tutawafikiria baadae.

Umeona eeh!Yaani si tupo busy kujenga chama,wao wako busy kuvunja chama kwa malipo ya 200,000/= ambazo zimepatikana kwa kuuza pembe za tembo wetu!
Au wamewaambia mrudishe pesa zao baada ya mpango wa mapinduzi kubumburuka?
Tunawaahidi hatutarudi nyuma mpaka CCM na nyie vibaraka wao,tumewasambaratisha!
Kama mlikuwa na njaa si mngetuomba wanachama tuwachangie kuliko kukubali kudhalilika kwa kupokea rushwa kutoka kwa majangili?
Wapuuzi wakubwa nyie!
 
Ahaaaa! Wakati huo Dr Slaa akiwa mbunge wa chama gani tena kwa misimu miwili?? Kweli ndiyo maana nikasema simjui huyu mtu na watu wengi hawamjui huyo mtu anajijengee umaarufu bila yeye kuwa maarufu. Sometimes hizi njaa zinawaponza wanategemee kulamba miguu ya wanasiasa ili kuishi
Ameingia 2005,eti anasema ni kabda Dr Slaa hajajulikana,pambaf zake!
 
Shetani kaingia chadema hatoki peke yake ngoma inogile sasa kesho slaa lazima alipuke mbowe naye akirudi kutoka dubai kuuza mali zake naye lazima atoe tamko baadaye lema naye atatoa tamko lake safi lakini ndiyo demokrasia.

Ha ha ha!!! JF is never boring!!
 
Mkuu ukieshimiwa na wewe jieshimu, Jukwaa letu linaharibiwa na wapuuzi wachache wenye ID tofauti alafu tusiseme ukweli?

Alafu sindano zipi hizo zinazouma wakati ni upotoshaji ndio unaoendelea humu na watu wenye akili zetu unataka tuufumbie macho?

Ila samahani sana kwa kukujibu maana ni aibu kujadili jambo na mtu anayejiita Msalani.

Kijana Mdogo unajiabisha kwa kufuata Falsafa za Mapadri walioshindwa kuheshimu miiko ya dini wakafukuzwa! Unajiabisha sana Mkuu!
 
Ndugu Nyakarungu umetoa tamko kama yale matamko aliyokuwa akiyatoa Brigadier Okello baada ya mapinduzi kule Zanzibar!

Kumlinganisha mwanamapinduzi John Okello na hili saliti ni sawa na kuyadhalilisha mapinduzi matakatifu ya Zanzibar!Huyu na genge lake la wasaliti ni zaidi ya ma-Yuda eskariote!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom