mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,148
Tamko halitaki waendelee kama wameanza na utangulizi kwenye kujibu tuhuma 11 warejee kwenye kazi za usaliti
Lobbying? Robbing? Aisee Zitto akifukuzwa atakuwa kama shetani na malaika zake
Hahahaaa mkuu Ben umeona nyoka wanavyochoropoka?
Moto tuliowasha hauzimwi mpaka nyumba yetu iwe safi na salama.
Kuna haja ya kufanya utaratibu wa kuwfungia wote wenye lugha ya matusi. Ili kuendeleza kaz nzuri ya jf
Hivi Nyakarungu naye anaweza kumtisha mtu? Nyumbani kwao na Nyakarungu ambako ni kwetu pia (wilayani Serengeti) wanachadema hawataki hata kusikia jina lake likitajwa.
Wanamtuhumu kwamba alishirikiana na ccm kupora ushindi wa mgombea ubunge wa Chadema mwl. Ryoba na tuhuma hizo ndizo ziliwafanya vijana wa Mugumu wamzomee kila wakimuona na kumtangazia waziwazi kuwa aachane na nia yake ya kutaka kugombea ubunge kwakuwa kamwe hawatamuunga mkono kwa usaliti aliowafanyia.
Mimi naona huyu bwana mdogo ni wa kuhurumiwa tu kwakuwa anaendekeza njaa hadi kutumia tumbo kufikiri badala ya kichwa.
chukua herufi mbili za mwisho+matoa WE kwenye jina lako......
umeacha ile ID ya habariyamujini umekuja na hii habari ya hapa.
Mwekundu÷we=xchukua herufi mbili za mwisho+ma
huo ndo mwisho wako wa kufikili joblessMwekundu÷we=x
Find x
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hivi M4C inaendeleaje?
Hakuna kitu hapo mkuu!Sasa siyo M4C tena mkuu!!! Inakuja nyingine kali!!! Stay tuned!!! Tena baada ya kuwaondoa masaliti na mahaini!!! Wengine wataondoka wenyewe maana watakuwa sidelined mpaka waone CDM hapafai!!