Taarifa kwa vyombo vya habari

Taarifa kwa vyombo vya habari

Kijana imesema mengi afu yanamaaana sana kwa mtu mwenye akil zake timamu na asie fungamana na siasa za maji taka,mie Kiboko mkuuu naungana naww katka hili,vijana weng mmeshikwa maskio hasa na utendaj wa kigoi goi wa huyo DJ akil ndogo,mie simuin hata kdogo na ndo maaana watanzania walio weng bdo hawaaamin katka siasa za upinzan zaid ya kuwahabikia huku kwenye social media,amken hebu tuyatafute hayo mabadiliko kwa hawa wezi wanafk wanaotumia mwanya wa kuijua chadema mapema kutuibia pesa na kutusababishia vifo sisi wenyewe huku wakilitupia lawama jesh la polis na chama tawala,amken vjana wenzangu achen kuuuyumbishwa na misemo yak ya kishetani.....chadema haiwez shika dolo ikiwa chima ya watu hawa hakika naapa
Mbowe,Slaaa,Lissu na mzeee Mtei

We Kalia kuisema Chadema tu!Unajua umeme upanda kwa 68%?CDM ndo wameupandisha?Unajua kuna wachina wanachukua kazi za wazawa kwa kukosekana kwa sheria za kuwabana wageni?Je CDM inahusikaje hapo?Unajua kuna viongozi wa serikali wameficha mabilioni ya pesa chafu nje?Unajua kuwa kuna mikataba 12 ya siri iliyoingia serikali na wachina bila kujua tutafaidika vipi?
Unajua kuwa tembo wamepungua kutokana na viongozi wa serikali ya CCM kujihusisha na ujangili?Je unajua kuwa baadhi ya viongozi wa serikali ya CCM wanajihusisha na biashara ya 'unga'?

Umeona haya yanafanywa na wanaCHADEMA na viongozi wao?
Wewe utakuwa ni mmoja unaofaidika na ushenzi unaofanywa na serikali hii!

Lakini jiandae mwisho wenu umekaribia!
 
Hizi sarakasi bado tu? Ile ya zitto na mkunbo ilikuwa sambersoti, hii sijue itaitwaje? Pushapu!!!
 
Tatizo hujajijua kama wewe ndio mtiifu wa Zitto.....unafanya kila kitu kumfurahisha Zitto and nothing else!
 
dakika 90 zimekwisha ushindi ni kwa timu yetu CHADEMA timu pinzani ya ZZK imeshindwa
WAPINZANI KUBALINI MATOKEO ACHENI KUTAPATAPA HAKUNA DK ZA NYONGEZA.
 
si robbing ni lobbing, alafu we mtoto wa mchungaji acha mbwembwe...hiyo nguvu ya umma utajikuta mmeandamana wewe na hao jamaa, sijui mpo saba.

chadema siyo zitto wa Mbowe...zitto atafute chama kingine kwanini ang'ang'ania chadema..
 
Aiseee...Siamini kama na huyu nae ni msomi, I dont think so....Hivi ni nini tafsiri sahihi ya neno wasomi kwa nchi hii?


Kama na huyu nae ni sehemu ya wasomi, kuanzia leo sitaki tena mniite msomi (manake kijijini kwetu wananiita msomi)
 
We Kalia kuisema Chadema tu!Unajua umeme upanda kwa 68%?CDM ndo wameupandisha?Unajua kuna wachina wanachukua kazi za wazawa kwa kukosekana kwa sheria za kuwabana wageni?Je CDM inahusikaje hapo?Unajua kuna viongozi wa serikali wameficha mabilioni ya pesa chafu nje?Unajua kuwa kuna mikataba 12 ya siri iliyoingia serikali na wachina bila kujua tutafaidika vipi?
Unajua kuwa tembo wamepungua kutokana na viongozi wa serikali ya CCM kujihusisha na ujangili?Je unajua kuwa baadhi ya viongozi wa serikali ya CCM wanajihusisha na biashara ya 'unga'?

Umeona haya yanafanywa na wanaCHADEMA na viongozi wao?
Wewe utakuwa ni mmoja unaofaidika na ushenzi unaofanywa na serikali hii!

Lakini jiandae mwisho wenu umekaribia!

unajua mbowe ana jumba la kifahari falme za kiarabu,hivi unajua slaa na josephina wamejikopesha mamilion ya chama bila kufuata taratibu,hv unajua mbowe amekiuzia chama bodaboda kwa sh milioni tatu badala ya m moja na nusu?hv unajua chadema ndio chama chama cha upinzan kinachochukua ruzuku nyingi lakin ofc yake inazidiwa na ya mtikila?
 
Ndugu Nyakarungu umetoa tamko kama yale matamko aliyokuwa akiyatoa Brigadier Okello baada ya mapinduzi kule Zanzibar!
Mkuu Kimbunga.

Umenikumbusha mbali tamko kama la Mungu wa afrika, kijana inaonekana kajipanga na timu yao,
 
Last edited by a moderator:
Alianza kwa kjitambulisha kama daktari, tukamwambia hana kiwango cha elimu ya kumwezesha kuwa daktari. Nashangaa sasa leo amekuwa brigedia. Chama kifagie wahuni hawa.

Mbona CHADEMA kuna makamanda ambao hata wengine chipkizi au skauti hawajapita? usishangae !
 
Lobbying? Robbing? Aisee Zitto akifukuzwa atakuwa kama shetani na malaika zake
 
Last edited by a moderator:
Nimegundua watu wanachuki binafsi na Zito,hawataki ukweliii:vijana Wachadema si walisema Shibuda aliwaambia kipindi kile kesi ya Ugaidi,Waseme wametumwa na Mbowe na Slaa,ukitaka kujua ni unafiki wa kina Kileo na wenzao ndo huu,kwa akili ya kawaida kama yale maneno yana ukweli nani anakigawa CHAMA?????????
Tuache UNAFIKI
Samahani lakini,nirudi katika waraka nimeusoma huu waraka mara nyingi,sioni tatizo,zaidi ya kuwa na mambo mazuri kwa Chadema yenye afya kama yatafanyiwa kazi,bila hata Zito kuwa kiongozi,mimi kutoka Moyoni nataka Slaa na Mbowe waondoke katika Uongozi,pia Zito asiwe kiongozi wote wabaki kuwa washauri na wajumbe
Nakubali Zitto Kabwe ana Udhaifu wake lakini Mbowe na Slaa sio Malaika!
Swali kwa Wadau maana huu waraka tumejadili kihisi kumuhusu Zitto wakati yeye ajauandaa,Je ikitokea ukakamatwa waraka unamuhusisha Mbowe kutaka kusiwe na Ukomo katika nafasi ya Uenyekiti je mbowe achukuliwe Hatua gani????
 
Pole sana the so called Brigedia Nyakarungu!!! Narudia pole!!! Andikeni nyaraka za kujipooza!!! Honereni magamba kwa kuja kivingine!!! Take it easy!!! Zile ID zenu fake mnazotumia kuficha mambo!!! Kama unajiamini jitokeze hadharani!!! Shame!!!
Hivi M4C inaendeleaje?
 
Hivi Nyakarungu naye anaweza kumtisha mtu? Nyumbani kwao na Nyakarungu ambako ni kwetu pia (wilayani Serengeti) wanachadema hawataki hata kusikia jina lake likitajwa.
Wanamtuhumu kwamba alishirikiana na ccm kupora ushindi wa mgombea ubunge wa Chadema mwl. Ryoba na tuhuma hizo ndizo ziliwafanya vijana wa Mugumu wamzomee kila wakimuona na kumtangazia waziwazi kuwa aachane na nia yake ya kutaka kugombea ubunge kwakuwa kamwe hawatamuunga mkono kwa usaliti aliowafanyia.

Mimi naona huyu bwana mdogo ni wa kuhurumiwa tu kwakuwa anaendekeza njaa hadi kutumia tumbo kufikiri badala ya kichwa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kimbunga.

Umenikumbusha mbali tamko kama la Mungu wa afrika, kijana inaonekana kajipanga na timu yao,

Pamoja na majeshi ya Amani congo chini ya UN Mbinu bora Mkuu wa majeshi hayo hawezi kuwa na ujasiri kama wa tamko hili kuwasambaratisha m23 mtoa tamko alikuwa ameshapeleka vikosi uwanja wa mapambano nini
hiz hasira sio za wahehe kweli ameona anakosa kaz kama mwigamba nini hataki wasaliti wapigwe chini warejeshwe ndani ya siku 5 kweli alikuwa mnufaika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom