Taarifa kwa vyombo vya habari

Taarifa kwa vyombo vya habari

MISUKULE imeanza kutapatapa,ilidhani utani kumbe ndo inang'olewa chamani.CDM ni taasisi haiwezi kutishwa na kipanya kama wewe unejiita brigedia,sijui wa panya buku!!?? ntweneki!
 
bro wenye akili na wasio wanafiki tu ndo tumekuelewa saaaaaaaaaaaaaaana saaaaaaaaaaana kaka_tupo pamoja, uliyoyasema yote ndiyo hata mim ningeambiwa kueleza ningefanya hivyo ingawa wewe umefanya kwa uwezo na weledi mkubwa sana sana sana kaka_hongera, siku moja nimemwambia Ulimboka na Kubenea ni issue za kutaka Public Attention ya mambo ya Siasa na Milipuko ya Arusha lakin hakuna aliyeniunga mkono_nashukuru mwaka baadae nakupata wewe unaelezea yale yale, nimefurah sana kwa Analysis yako ya hali ya juu sana kaka
 
Mungi unaweza kuuundoaje ushuzi mathalani. Unamaanisha unaweza kupigana na upepo?

Zitto hawezi kuondoka CHADEMA kirahisi kaima mnavyodhani kuwapisha wahafidhina wajinafasi.

The struggle continues.... Mmeshinda kwa muda kwa vile wahafidhina wa kamati kuu wali dictate maamuzi bila facts.

acha yege subiri day 14 mbona haraka timw will telll usiwe nabii
 
CCM na tume, CDM na matamko. Napendekeza kuliko kusambaratisha chama ni bora hao wapigania demokrasia wakaanzisha Chadema B.
 
Bahati nzuri mmegundulika mapema. We need to see you physucally, get out of jf fake ids. Haiwasaidii na mnachokifanya ni kijididimiza wengewe. cdm is there to stay and ready to govern 2015.
 
Jamii Forums sasa inapoteza hadhi yake kabisa. Sijui hao mamoderator wanafanya kazi ipi siku hizi, maana hili jukwaa limekuwa la kubomoa na sio kujenga.
 
Sasa hivi tu mmeanza kuchanganyikiwa hivi ukifika mwezi si mtakuwa barabarani mnaokota makopo? Unatoa siku tano !!!! Ha ha ha hadi aibu....!!!!
 
CHADEMA mnapenda vyeo vya kijeshi! WAKATI HATA MAFUNZO YA MGAMBO HAMJAPITA Mara Kamanda, mara Brigedia, kesho utasikia GENERAL MBOWE.
 
dah hugawa najiuliza vizur mnaosema mbowe anang'ang'a nia ruzuku za chama mna jua kweli mh mbowe jamaa c mchumia tumbo kama huyu nyakarungu jamaaa ni don kitambo jamaa ana cash ya kutosha sasa eti unataka kuwadanganya wasiojua kwamba mh mbowe analilia ruzuku za chama may.b kwa lingineh bt hil la pesa cdhan kama mbowe ananjaaa kiasi hicho chama kinakidi kibaki kwa mtu makin kama yeye atuvushe salama 2015 njie maskin mnao lia lia nyie ndo mnatuharibia chama
hichi ulicho kiandika hapa ni kichekesho eti unatoa siku tano hahahah -------- utamjua kwa upumbavu wake yan umejipinda umekaaa umepoyeza muda wako eti unaandaaa hekaya/tamko la kipuuz namna hii nimecheka sana hii hadithi bro mwache zitto ajinusuru mwenyewe katika hili mnavoendelea hvyi ndo mna mwaribia inaonesha kama mmetumwa ua too small for this bro cdm ni taasisis sas c mbowe unaemchafulia
 
Jamii Forums sasa inapoteza hadhi yake kabisa. Sijui hao mamoderator wanafanya kazi ipi siku hizi, maana hili jukwaa limekuwa la kubomoa na sio kujenga.

Umewaajiri wewe? Hamtaki sindano iingie? Dawa ya homa kali ni sindano japo inauma, Invisible aliwashauri muende jukwaa la ujasiriamali mkajifunze huko, sio lazima kubaki huku JUKWAA LA SIASA ambapo mihemko yake ni mizito.
 
Sasa hivi tu mmeanza kuchanganyikiwa hivi ukifika mwezi si mtakuwa barabarani mnaokota makopo? Unatoa siku tano !!!! Ha ha ha hadi aibu....!!!!

Mkuu kuokota makopo wangeringa sana kwani siku hizi makopo ni biashara( yanasoko ) Dhambi ya usaliti ni kujinyonga tuu. Safari hii hatumpeleki tena Mr. MM kule India kwa matibabu kwani hospitali ya muhanga wa kitanzi ni mwanandani pekee.
 
Tatizo kubwa ni kwamba kila mtu anataka kuwa mwanasiasa na kutaka umaarufu kwa muda mfupi! Nyakarunga kaingia chadema 2005! tayari anatakupindua uongozi wa juu ili yeye awe kiongozi mkuu! Tizama jinsi hata huogopi kujiita "BRIGEDIA" Jamani wana jamvi tuwapuuze watu kama hawa! Malengo yao ni tofauti nasi hatuyahitaji ni kuwapuuza tu!
 
dah hugawa najiuliza vizur mnaosema mbowe anang'ang'a nia ruzuku za chama mna jua kweli mh mbowe jamaa c mchumia tumbo kama huyu nyakarungu jamaaa ni don kitambo jamaa ana cash ya kutosha sasa eti unataka kuwadanganya wasiojua kwamba mh mbowe analilia ruzuku za chama may.b kwa lingineh bt hil la pesa cdhan kama mbowe ananjaaa kiasi hicho chama kinakidi kibaki kwa mtu makin kama yeye atuvushe salama 2015 njie maskin mnao lia lia nyie ndo mnatuharibia chama
hichi ulicho kiandika hapa ni kichekesho eti unatoa siku tano hahahah -------- utamjua kwa upumbavu wake yan umejipinda umekaaa umepoyeza muda wako eti unaandaaa hekaya/tamko la kipuuz namna hii nimecheka sana hii hadithi bro mwache zitto ajinusuru mwenyewe katika hili mnavoendelea hvyi ndo mna mwaribia inaonesha kama mmetumwa ua too small for this bro cdm ni taasisis sas c mbowe unaemchafulia
 
Umewaajiri wewe? Hamtaki sindano iingie? Dawa ya homa kali ni sindano japo inauma, Invisible aliwashauri muende jukwaa la ujasiriamali mkajifunze huko, sio lazima kubaki huku JUKWAA LA SIASA ambapo mihemko yake ni mizito.

Mkuu ukieshimiwa na wewe jieshimu, Jukwaa letu linaharibiwa na wapuuzi wachache wenye ID tofauti alafu tusiseme ukweli?

Alafu sindano zipi hizo zinazouma wakati ni upotoshaji ndio unaoendelea humu na watu wenye akili zetu unataka tuufumbie macho?

Ila samahani sana kwa kukujibu maana ni aibu kujadili jambo na mtu anayejiita Msalani.
 
Back
Top Bottom