Kuna ukweli ndani yake!Nimeisoma hii vizuuri nilipofika kwenye hekaya ya "ugaidi wa kujiteka" apetite yote ya kusoma ikaisha na nikaishia hapo.Kajipange tena uje utudanganye vizuri mkuu!
Ni kweli...hivi mkuu umepotelea wapi?Matamko ndio dira ya CHADEMA.
Mzee nipo. Mambo huku Lyakanyasi kisiwani yanakuwa mazito manake siku hizi makokoro yamepigwa marufuku ili kulinda mazalio ya samaki. Karibia nirudi mjiniNi kweli...hivi mkuu umepotelea wapi?
Dah kumbe upo !Naona siku hizi kmya kingi.Mzee nipo. Mambo huku Lyakanyasi kisiwani yanakuwa mazito manake siku hizi makokoro yamepigwa marufuku ili kulinda mazalio ya samaki. Karibia nirudi mjini
Naona watu watakumbushwa kuhusu Chadema na mauzauza ya namna hiiKweli unadhani watu watasahau ya Lisu mapema hivyo kwa kuleta upuuzi huu hapa?