Taarifa kwa vyombo vya habari

Taarifa kwa vyombo vya habari

Nyakarungu hii ni Press Release au ni Waraka Mwingine.. hahahahaha Mwandishi gani atakaa anasubiri usome hilo gazeti umalize ahahhahaaaa
 
Kumbe huyu nyang'au ndo alikuwa anatembea na mitaa mchana kweupe na mbwembwe kibao kumbe alikuwa anafadhiliwa na Zitto, Nyakarungu tafuta tu kazi nyingine siasa hutaziweza ndo basi tena. Cdm haiwez endekeza nyie wapuuzi na siasa zenu za maji taka na kutaka huruma kwa watu. Baaada ya siku 14 ni Zitto anachinjiwa baharin mazima tuone mtakuwa mnamlalamikia nani maana atakuwa sio mwanachama tena bosi wenu maskini.
 
Kule kwetu mganga wa kienyeji alikuwa akiipiga tu ngoma mtaani, mchawi yeyote atakayesikia mlio wa ngoma lazima aibuke kutoka huko aliko kuifuata ngoma, kwa hiyo baada ya muda mfupi tu mtakuta wachawi wameizunguka ngoma wanacheza, basi wanakamatwa kama kuku wa kisasa, na anaanza kunyolewa nywele mchawi mmoja baada ya mwingine

Baada ya Zitto na Kitila kuvuliwa uongozi, mtaona wachawi wengi tu wanaibuka wenyewe, hata wale waliokuwa sio maarufu, ili mradi wameusikia mlio wa ngoma. Kamateni huyu mwingine!

Nimecheka, you made my day! Tuache utani, huu ni mpango wa Muumba kuinusuru CHADEMA. Wachawi wanatoka mmoja mmoja na kujianika mchana kweupe.
 
Kumlinganisha mwanamapinduzi John Okello na hili saliti ni sawa na kuyadhalilisha mapinduzi matakatifu ya Zanzibar!Huyu na genge lake la wasaliti ni zaidi ya ma-Yuda eskariote!

Nyakurungu na wenzie ni genge la fisi walafi tu..
 
Kijana imesema mengi afu yanamaaana sana kwa mtu mwenye akil zake timamu na asie fungamana na siasa za maji taka,mie Kiboko mkuuu naungana naww katka hili,vijana weng mmeshikwa maskio hasa na utendaj wa kigoi goi wa huyo DJ akil ndogo,mie simuin hata kdogo na ndo maaana watanzania walio weng bdo hawaaamin katka siasa za upinzan zaid ya kuwahabikia huku kwenye social media,amken hebu tuyatafute hayo mabadiliko kwa hawa wezi wanafk wanaotumia mwanya wa kuijua chadema mapema kutuibia pesa na kutusababishia vifo sisi wenyewe huku wakilitupia lawama jesh la polis na chama tawala,amken vjana wenzangu achen kuuuyumbishwa na misemo yak ya kishetani.....chadema haiwez shika dolo ikiwa chima ya watu hawa hakika naapa
Mbowe,Slaaa,Lissu na mzeee Mtei
 
Nimeisoma hii vizuuri nilipofika kwenye hekaya ya "ugaidi wa kujiteka" apetite yote ya kusoma ikaisha na nikaishia hapo.Kajipange tena uje utudanganye vizuri mkuu!
 
a very stupid and mental patient called Breyson Nyakarungu
 
Ndugu yangu na mdogo wangu Nyakarungu sina sababu yoyote ya kumung'unya maneno katika hili, hii kazi unayofikiria kwamba unaweza kuifanya umeshashindwa kabla haujaianza. Huu muda unaotaka kupoteza pengine ungepaswa kuutumia kwa ajili ya shughuli nyengine za uzalishaji mali lakini bahati mbaya umechagua shughuli itakayokupotezea muda wako bure. Ni bahati mbaya sana kwamba katika karne hii na wakati huu kuna vijana waliobahatika kusoma hadi viwango vya vyuo vikuu kwamba wanawaza kupata uongozi kwa kujinasibisha na ukabila ama udini. Ni afadhali ungejenga hoja nyingine pengine ungeeleweka lakini hili la kujenga hoja katika dhana ya ukabila haitawasaidia kuwafikisha popote. Na mimi nina uhakika mojawapo ya mikoa ambayo hautaungwa mkono kabisa ni nyumbani kwetu Mara na ukitaka kupata uhakika wa hili nakuomba ukaanzie hii operation yako nyumbani Mugumu kisha ndipo uende mahali kwingine.

Nyahende asante sana na nimefarijika kuona kwamba kuna baadhi ya Watanzania tena ambao utambulisho wao ni halisi wanaliona hili. Mimi ndilo swali ambalo nimekuwa nikijiuliza bila kupata majibu kwamba nisingetarajia kuona vijana wa kizazi kipya tena ambao wamekwenda hadi vyuo vikuu bado wameshikilia ama kuamini katika 'ukabila' na 'udini'/ Kwa 'udini' ningeweza kuwaelewa kwa vile ni propoganda mpya katika siasa zetu ambapo ilipata mashiko katika uchaguzi wa 2010. Lakini 'ukabila', nashindwa wakati wengi wamezaliwa na kukulia mijini ambapo hata lugha za makabila wanayozungumzia hawazijui🙁
 
Inaonekana kuna kitu very special with Mbowe,Slaa and Lema ambacho CCM hawakipendi na wameanzisha all out war on them!Sijajua kama ni evil au good lakini as long as CCM is evil then probability ya hicho kitu special kuwa .....ah,hebu niondoke zangu manake hawa waandishi wa jukwaa la siasa jf siku hizi hata kiswahili kinawasumbua,mpangilio wa points ni utata,na hao wachangiaji wao dah,hebu someni hiyo post ya Kibogo hapo juu.Bora hata akina Ritz,Zomba tulikuwa tunaelewa uandishi wao.Sijui Lumumba wameajiri watu gani siku hizi!Hebu niondoke zangu mie.
 
Andishi refu lakini pumba tupu,CDM ni nouma na leo tulikuwa na mkutano mkubwa jijini mwanza maeneo ya mbugani.makamanda wa ukweli mawazo na mh wenje walikuwepo.hatutishwi na wapuumbav wachache sampuli yako uliyekwisha fukuzwa siku nyingi.karibuni mwanza na ningependa muanzie huku tuwafundishe adabu!
 
Aisee uje na Arusha kutuhamasisha na sisi tuasi kama ww!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyo anayejiita NYAKARUNGU namuomba awakusanye masalia na we.hu wenzie wote waje mwanza tutawapokea vizuri tu na wataridhika!
 
Who are you by the way? Hivi kuwepo au kutokuwepo kwako, kuongea au kutokuongea kwako kunaiathiri kiasi gani CHADEMA? Mtahangaika sana mwaka huu. Ukisikia maamuzi magumu ndiyo haya ambayo yanawaacha wachumia tumbo wakihangaika kama tetea anataka kutaga. Napendekeza kamati kuu ya CHADEMA isiwafumbie macho akina Zitto, iwafukuze kabisa. Halafu tuone waganga njaa kama akina Nyakarungu watafanya kazi gani.
 
Kijana imesema mengi afu yanamaaana sana kwa mtu mwenye akil zake timamu na asie fungamana na siasa za maji taka,mie Kiboko mkuuu naungana naww katka hili,vijana weng mmeshikwa maskio hasa na utendaj wa kigoi goi wa huyo DJ akil ndogo,mie simuin hata kdogo na ndo maaana watanzania walio weng bdo hawaaamin katka siasa za upinzan zaid ya kuwahabikia huku kwenye social media,amken hebu tuyatafute hayo mabadiliko kwa hawa wezi wanafk wanaotumia mwanya wa kuijua chadema mapema kutuibia pesa na kutusababishia vifo sisi wenyewe huku wakilitupia lawama jesh la polis na chama tawala,amken vjana wenzangu achen kuuuyumbishwa na misemo yak ya kishetani.....chadema haiwez shika dolo ikiwa chima ya watu hawa hakika naapa
Mbowe,Slaaa,Lissu na mzeee Mtei

utoto raha
 
Back
Top Bottom