tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 259
Kimenuka!
ulipotelea wapi siku 2 hizi kamanda?
Kimenuka!
dah hugawa najiuliza vizur mnaosema mbowe anang'ang'a nia ruzuku za chama mna jua kweli mh mbowe jamaa c mchumia tumbo kama huyu nyakarungu jamaaa ni don kitambo jamaa ana cash ya kutosha sasa eti unataka kuwadanganya wasiojua kwamba mh mbowe analilia ruzuku za chama may.b kwa lingineh bt hil la pesa cdhan kama mbowe ananjaaa kiasi hicho chama kinakidi kibaki kwa mtu makin kama yeye atuvushe salama 2015 njie maskin mnao lia lia nyie ndo mnatuharibia chama
hichi ulicho kiandika hapa ni kichekesho eti unatoa siku tano hahahah -------- utamjua kwa upumbavu wake yan umejipinda umekaaa umepoyeza muda wako eti unaandaaa hekaya/tamko la kipuuz namna hii nimecheka sana hii hadithi bro mwache zitto ajinusuru mwenyewe katika hili mnavoendelea hvyi ndo mna mwaribia inaonesha kama mmetumwa ua too small for this bro cdm ni taasisis sas c mbowe unaemchafulia
Nyakarungu nakuelewa sana.mtu asiyeijua chadema ataona unaropoka lakini sasa hivi lazima ukweli ujulikane na hakika Haki na Ukweli lazima vitashinda.Yaani watu wote waliokifia chama leo ni maluki kisa tu unasema ukweli hivyo automatically huwezi kuwa kambi ya Mbowe.Mimi naamini katika nguvu ya umma kama tunavyoihubiri na hakika kwenye chama nguvu ya umma itafanya kweli kwenye yote.Mie yangu macho nasubiri kabla na mie sijaamua kutia mkono wangu
Nyakarungu nakuelewa sana.mtu asiyeijua chadema ataona unaropoka lakini sasa hivi lazima ukweli ujulikane na hakika Haki na Ukweli lazima vitashinda.Yaani watu wote waliokifia chama leo ni maluki kisa tu unasema ukweli hivyo automatically huwezi kuwa kambi ya Mbowe.Mimi naamini katika nguvu ya umma kama tunavyoihubiri na hakika kwenye chama nguvu ya umma itafanya kweli kwenye yote.Mie yangu macho nasubiri kabla na mie sijaamua kutia mkono wangu
Nyakarungu nakuelewa sana.mtu asiyeijua chadema ataona unaropoka lakini sasa hivi lazima ukweli ujulikane na hakika Haki na Ukweli lazima vitashinda.Yaani watu wote waliokifia chama leo ni maluki kisa tu unasema ukweli hivyo automatically huwezi kuwa kambi ya Mbowe.Mimi naamini katika nguvu ya umma kama tunavyoihubiri na hakika kwenye chama nguvu ya umma itafanya kweli kwenye yote.Mie yangu macho nasubiri kabla na mie sijaamua kutia mkono wangu
Wewe ndio unanuka tena unanuka hiyo ................................... yako.
BRIGEDIA NYAKARUNGU NATOA SIKU TANO (5) HADI TAREHE MOJA DECEMBER MWAKA HUU KUWATAKA VIONGOZI WALIONDOLEWA KUREJEA KWENYE NAFASI ZAO NA ENDAPO WATAPUUZA TUTAANZA MIKUTANO YA HADHARA KUWASIMIKA VIONGZOI WAPYA NA KILA KONA YA WATANZANIA WATAJUA JUA HILI!
Imetolea na BRIGEDIA NYAKARUNGU,
Mkuu wa kikosi cha kuisaka Demokrasia Chadema.
...NATOA SIKU TANO (5) HADI TAREHE MOJA DECEMBER MWAKA HUU KUWATAKA VIONGOZI WALIONDOLEWA KUREJEA KWENYE NAFASI ZAO NA ENDAPO WATAPUUZA TUTAANZA MIKUTANO YA HADHARA KUWASIMIKA VIONGZOI WAPYA NA KILA KONA YA WATANZANIA WATAJUA JUA HILI!
Jamii Forums sasa inapoteza hadhi yake kabisa. Sijui hao mamoderator wanafanya kazi ipi siku hizi, maana hili jukwaa limekuwa la kubomoa na sio kujenga.