tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,952
- 25,327
Ukimuona mwanaume yeyote mwenye akili zilizo timia na bila kushurutishwa na mtu yeyote, anashabikia na kucheza muziki wa taarab ujue kwamba kuna hitilafu kichwani mwake.
Hili suala nimekuwa nikilitafakari kwa muda mrefu, hasa ikizingatiwa kwamba taarab ni muziki wa kike, nimekuja kugundua kwamba wanaume wanaoshobokea taarab wana walakini kwenye mbongo zao. Tena utakuta wanaume hao wapo kwenye mduara na wanakata mauno kisawasawa huku wakinyoosha vidole vyao juu! Lahaulah!
Hili suala nimekuwa nikilitafakari kwa muda mrefu, hasa ikizingatiwa kwamba taarab ni muziki wa kike, nimekuja kugundua kwamba wanaume wanaoshobokea taarab wana walakini kwenye mbongo zao. Tena utakuta wanaume hao wapo kwenye mduara na wanakata mauno kisawasawa huku wakinyoosha vidole vyao juu! Lahaulah!