Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,084
- 136,579
Nyani Ngabu ....where are you?
I'm right here Bossman.
I love taarab, I love music, and I love art.
But lowbrows won't get that.
Nyani Ngabu ....where are you?
Ukimuona mwanaume yeyote mwenye akili zilizo timia na bila kushurutishwa na mtu yeyote, anashabikia na kucheza muziki wa taarab ujue kwamba kuna hitilafu kichwani mwake.
Hili suala nimekuwa nikilitafakari kwa muda mrefu, hasa ikizingatiwa kwamba taarab ni muziki wa kike, nimekuja kugundua kwamba wanaume wanaoshobokea taarab wana walakini kwenye mbongo zao. Tena utakuta wanaume hao wapo kwenye mduara na wanakata mauno kisawasawa huku wakinyoosha vidole vyao juu! Lahaulah!
Mimi naunga mkono hoja. Mimi kwa ujumla sipendi taarabu sababu kwa hizo chache ambazo niliwahi kuzisikiliza kwa "bahati mbaya" ni maneno ya kupondana, kutambiana, kuoneana gele, kutetana na mambo ya kipuuzi tu na hasa kuhusiana na mapenzi. Utakuta mtu anasema "kanipenda mimi wewe kaa kando", "huwezi kumchukua huyo ni wangu" yaani ni kama mashindano ya wanawake kugombania wanaume. Kwa hiyo nikiona mwanaume anashabikia taarabu kwa kweli simuelewi hata kidogo. Na hata hao wanawake wanaoshabikia muziki huo wala siwaelewi ningekuwa nina uwezo ningeupiga marufuku maana wanaendekeza ujinga tu badala ya kufanya mambo ya maana.We jamaa umeongea point tupu. Sasa vidole juu na mwanaume wapi na wapi. Nyimbo zao ni kupondana tu. Uksikilza taarabu lazma uwe mbea na mwanaume hutakiwi kuwa hvyo. Na mashoga wengi wanapenda taarabu.
Hutaki unaacha!
Pamoja na kwamba sikuwahi kusikiliza hizo nyimbo walizoimba hao ulioorodhesha lakini sidhani kama wanaimba maneno ya kipuuzi kama wanayoimba hawa wataarabu wa sasa hivi, nyimbo za kugombea wanaumeLabda mtoa mada hajui ilipoanzia taarab, kundi la kwanza la Taarab lilikuwa ni kundi la wanaume watupu, likiitwa Nadi Ikhwani Safaa na kiongozi wake alikuwa Muhamed Ibrahin miaka ya mwanzoni ya 1900 huko Zanzibar. Katika muziki huu wanaume waliotamba ni pamoja na Juma Bhalo, Issa Matona, Aly Star, Abdul Misambano, Mzee Yusuph, marehemu Kijoti na kadhalika. Sasa hayo ya walakini sijui yanatoka wapi...
kwiih wanaoushabikia wanajua walifanyalo,hamna anaeropoka hapa,mwanaume na taarab wap na wap?achen mambo ya ki...*Wewe una matatizo ya akili!!wapi palipoandikwa huu ni mziki wa kike na huu ni wa kiume! !jaribu kufuatilia asili ya kitu kabla ya kuja hapa na kulopoka .!!
mkuu kabanga,me namsapoti huyu jamaa,ckiliza wanachokiimba humo ndani af fananisha na tabia za wabongo wepi wanapenda izo stor?inawezekana kuna tatizo, kwanini useme .ni muziki wa kike tu,Jesus .ni kwa miaka hii au tangu .zamani !?
nadhan mtoa maada ameangalia mambo mawili,kwanza aina ya muziki wenyewe umejaa mipasho ambapo si tabia za wanaume, pili mashabiki wake walio wengi ni wanawake
Wewe una matatizo ya akili!!wapi palipoandikwa huu ni mziki wa kike na huu ni wa kiume! !jaribu kufuatilia asili ya kitu kabla ya kuja hapa na kulopoka .!!
Huu ni ubaguzi tu, muziki hauna jinsia. Fikiria hapa kwetu akina Ngurumo wameisha imba wimbo wa 'Mfaume wanitesa' sasa je wanawalakini?Sidhani kama mtoa mada yupo sahihi juu ya hilo. Jaribu kwanza kuitafuta asili ya huo muziki ndipo utajuwa!
Pia Ongezea nyimbo za injili kuimbwa na kuchezwa kama NDOMBOLO ya soloUkimuona mwanaume yeyote mwenye akili zilizo timia na bila kushurutishwa na mtu yeyote, anashabikia na kucheza muziki wa taarab ujue kwamba kuna hitilafu kichwani mwake.
Hili suala nimekuwa nikilitafakari kwa muda mrefu, hasa ikizingatiwa kwamba taarab ni muziki wa kike, nimekuja kugundua kwamba wanaume wanaoshobokea taarab wana walakini kwenye mbongo zao. Tena utakuta wanaume hao wapo kwenye mduara na wanakata mauno kisawasawa huku wakinyoosha vidole vyao juu! Lahaulah!
Hitilafu gan umeiona ww,?? Mzee yusuph ana wake 3, na ana watoto kama 4 hvi, na ndo muimbaji wa taarabu