Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Kuna thread nimeiona jana inasema bado siku 30. Sasa sijui nani yupo sahihi! Kama siku zimekisha basi tuamini tu kuwa ulikuwa usanii mwingine wa ccm maana chama kimejaa usanii mtupu. Vilevile ni failure nyingine ya ccm katika kuongoza chama chao na nchi kwa ujumla!

Hizo 30 zingine zilikuwa ni za Mukama baada ya kuziruka 90 za Nappy.
 
Jamani watanzania pamojam mie ni sahihi serikali kutiliana mkataba na kampuni ya simbion ilionunua mitambo ya DAWSON iliyoridhi mikataba feki kutoka ktk kampuni ya RICHMOND co. Ltd ?
 
kuna taarifa zilizopatika kutoka symbion power kuwa wamekataa kuwakatia jamaa waliofanikisha wao kununua mitambo ya dowans,
hii taarifa bado inafanyiwa kazi.taarifa zaidi zinasema symion imekuja kwa msaada mkubwa wa serikali ya marekani
kuisaidia tanzania.
 
kuna taarifa zilizopatika kutoka symbion power kuwa wamekataa kuwakatia jamaa waliofanikisha wao kununua mitambo ya dowans,
hii taarifa bado inafanyiwa kazi.taarifa zaidi zinasema symion imekuja kwa msaada mkubwa wa serikali ya marekani
kuisaidia tanzania.

Source? Otherwise ni mahoka hapa JF
 
hakuna mwana ccm anayeweza kukataa rushwa!huo ndio ukweli.jiulize symbion ni nini?jibu =Dowans=Richmond.Sema kwa kuwa symbion si ya mwarabu,muiran au muhindi basi watanzania hawaipingi!wamarekani wanachukuliwa kama miungu mtu
 
Kuna kitu kinanimbia hii story ya Mtorii ina ka-ukweli. tusibiri..
 
Kuna kitu kinanimbia hii story ya Mtorii ina ka-ukweli. tusibiri..


yaani kwa taarifa rasmi,
mama alivyokuja wazungu walibadilisha mawazo,nafikiri kuna kitu hata sisi tumetolea macho hapo
 
Mkuu basi make sure una source ya uhakika.....tuko pamoja
 
Back
Top Bottom