Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Umenena.......

Unajitoa weeeee

Halafu anaenda spend kwengine
Cha ajabu ni kwamba, mnavyotufikiria kuwa ni wa ajabu wanawake nao wanawafikiria hivyo hivyo.
Hili swala la kuchangia pato la familia humu jf mnaliexagerate sana ilihali hali halisi huko nje ni tofauti kabisaaaa!! Sijui kwanini mnatumia nguvu sana kuiaminisha jamii tofauti.

Wanawake wanakatishwa tamaa na wanaume maana unakuta mtu anajitoa100% lakini maisha yakibadilika anakunjua makucha, mwanaume sasa ndio michepuko inaanza na fujo za kila aina,hapo sasa ndio anagundua aliyemuoa hakuwa chaguo lake. Ndio maana ukikuta kwenye familia mwanamke amemute ujue kuna jambo.
 
Hela ya mwanamke sikuzote sio hela wewe utakua na laki mbili yeye analaki tano hiyo lakini utasikia baba naniliuu unga na mchele vinakaribia kuisha alafu next week inatakiwa ada ya mtoto hapo ndio huwa nachoka
 
Kwa zama hizi, kipato cha familia ni laki mbili.
 
....Mme na mke mnatakiwa kuchangia issue za maisha yenu...kama baba unapata zaidi basi atachangia zaidi na kama mama anapata zaidi basi yeye ndie atachangia zaidi....nasema hivi kama hiyo ndoa ni ideal(hali si)...lakini kama ni ndoa maslahi basi pesa ya baba ni ya wote na ya mama ni yake tu....siku hizi ndoa nyingi ni maslahi...yani anapigika baba hata kama yeye kipato chake kidogo kuliko mama....mimi ndoa yangu ni ideal...kwa maana ya kwamba mimi natoa zaidi kwa kuwa namzidi mke wangu...lakini yeye nae anataka kutoa tu hata kama hela yake ndogo...na mara nyingi mi ndie namzuia kutoa zaidi...
 
Af swali lang hiz laki 5 zake hua znaenda wap hapo ndo wanakoniacha hoi tu
 
Hahahahaaa nina upendo wa agape....

cc: Smart911


I've been alone with you
Inside my mind
And in my dreams I've kissed your lips
A thousand times
I sometimes see you
Pass outside my door
Hello! Kasinde
Is it me you're looking for?
I can see it in your eyes
I can see it in your smile
You're all I've ever wanted
And my arms are open wide
'cause you know just what to say
And you know just what to do
And I want to tell you so much
I love you

I long to see the sunlight in your hair
And tell you time and time again
How much I care
Sometimes I feel my heart will overflow
Hello! Kasinde
I've just got to let you know
'cause I wonder where you are
And I wonder what you do
Are you somewhere feeling lonely?
But let me start by saying I love you...
 
I've been alone with you
Inside my mind
And in my dreams I've kissed your lips
A thousand times
I sometimes see you
Pass outside my door
Hello! Kasinde
Is it me you're looking for?
I can see it in your eyes
I can see it in your smile
You're all I've ever wanted
And my arms are open wide
'cause you know just what to say
And you know just what to do
And I want to tell you so much
I love you

I long to see the sunlight in your hair
And tell you time and time again
How much I care
Sometimes I feel my heart will overflow
Hello! Kasinde
I've just got to let you know
'cause I wonder where you are
And I wonder what you do
Are you somewhere feeling lonely?
But let me start by saying I love you...

Ooh darling, I love you too....

I love you so much Smart...

You are the one and only for me....

You are my everything. ....
 
Kipato cha family hapo ni laki 2 maana mwanamke hata apate kipato cha billion bado hela Ya kusukia nywele +++ ataomba kwa mume wake, na kipato chake baada ya muda atakuambia Kimeisha
 
Kuna mwanamke mmoja alikuwa mfanyabiashara kkoo mikopo kibao mara china mara uganda faida anayopata yake kila kitu chake mumewe hapati kitu nyumba anajenga mwanaume ndo anakomaa alikopa hadi 50ml kakomaaa mara biashara ikawa ngumu access wanataka chao full kudata ndo akajirud kwa mumewe ...duka limekufa hana hela jamaa now ndo anakomaa rejesho la 50 na zaidi..." Kila mwanamke akili yake ni sawa na urefu wa shimo lake"

Shangoo mwana kulyamba.
 
Kwa majibu haya humu, nashukuru mke niliyenaye ni wa kitofauti sana maana naelewa a-z kipato mpaka passcode za atm na life goes on with no prigosh.

Kama hamsaidiani bora uishi pekee tu huku ukikodi mdada na kumpa mimba kisha mnaishiana mtoto akizaliwa.
 
Back
Top Bottom