The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
- Thread starter
- #61
Kimsingi pato la familia linatakiwa litoke kwa mwanaume 100%.
Kama huwezi kuhudumia familia kwa mahitaji yote bora usioe.
Pesa ya mwanamke si ya kutegemea, kwanza huenda anahongwa na wanaume wengine hivyo kukufanya wewe mtegemezi wa pesa za wanaume wenzako kupitia kipochi cha mkeo.
Hawa wanawake wewe waone tu ila usifikiri ni ndugu zako.
You can say that again

kwenye familia hamtaki.......