Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Kimsingi pato la familia linatakiwa litoke kwa mwanaume 100%.

Kama huwezi kuhudumia familia kwa mahitaji yote bora usioe.

Pesa ya mwanamke si ya kutegemea, kwanza huenda anahongwa na wanaume wengine hivyo kukufanya wewe mtegemezi wa pesa za wanaume wenzako kupitia kipochi cha mkeo.

Hawa wanawake wewe waone tu ila usifikiri ni ndugu zako.


You can say that again
 
Hapo kipato cha Familia ni kama laki na Nusu.. Baba akitoa laki mama atatoa Hamsini kwa aibu tena pale Mzee akisanda kua anahela..

Na mzee laki nyngine Hiyo niyamishe zake, Mishe za wanaume zinajulikana.. ila kina mama sasa..
 
Kufikiria kuwa kama mwanamke anachangia ktk kipato cha familia basi amehongwa ni tatizo, mnapooana it means you become one, we are both working sasa kwanini tusichangie wote ktk maendeleo ya familia? After all ni familia yetu.
Mnakuwa mwili mmoja? mbona watu wanachepuka na kuzaa nje ya ndoa zao?..........Mkuu hawa wanawake jitahidi uwaelewe vizuri,.....wengi wao ni blinders.
 
ahahaaa the boss wewe mchokozi nadhani bila kuwa mnafiki hapo kipato cha familia ni laki mbili tena hapo hyuo baba asiwe na mchepuko kitu ambacho ni very rare ! tuseme hapo hela ya familia kiuhalisia ni laki moja hivi
Ile 50/50 huwa inaishia kwenye bunge tu na pengine mnakotaka. kwenye familia hamtaki.......
 
Mnakuwa mwili mmoja? mbona watu wanachepuka na kuzaa nje ya ndoa zao?..........Mkuu hawa wanawake jitahidi uwaelewe vizuri,.....wengi wao ni blinders.
Mie ni mwanamke na ninaelewa ninaposema hivyo. Kuchepuka ni kutokujitambua na kutothamini kile ulichokiendea na kutotambua maana ya hicho ulichokiendea(ndoa) kama unatambua wala hili swali lisingekuwa swali kabisa.
 
Tehe tehe.
Nashindwa kuona tofauti ya maisha ya wanandoa na 'room mates'.
 
Mie ni mwanamke na ninaelewa ninaposema hivyo. Kuchepua ni kutokujitambua na kutothamini kile ulichokiendea na kutotambua maana ya hicho ulichokiendea(ndoa) kama unatambua wala hili swali lisingekuwa swali kabisa.
Kama unachosema ndicho unachokiamini na kukiishi basi heri yako.........Kwangu, mambo niliyoyashuhudia yananizuia kuamini kama wewe.
 
Tehe tehe.
Nashindwa kuona tofauti ya maisha ya wanandoa na 'room mates'.
Hahaha nimecheka sana Mkuu,....kwamba kuna wenye ndoa wanaishi kama ma roommates?😀😀😀😀😀😀......ila bora tukawa wakweli, ndoa ni kipaji na sidhani kama ni kwa wote.
 
Kama unachosema ndicho unachokiamini na kukiishi basi heri yako.........Kwangu, mambo niliyoyashuhudia yananizuia kuamini kama wewe.
Mkuu mkeo akichepuka haimaanishi wanawake wote wanachepuka, mkeo asipochangia pato la familia haimanishi pia kuwa wanawake wote hawachangii.
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Kwa sheria na taratibu zangu pato la familia ni laki 700,000.
 
Back
Top Bottom