ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,252
- 14,793
Nahisi hawa ndugu zetu tunafanana nao kwa kuwa tupo jamii moja ya 'wanadamu' lakini kiukweli ME na KE hatulingani, tofauti si mbaya wala nzuri lakini hatulingani.Nasi ajabu angekuwa kwenye ndoa angejibu tofauti
Utaweza ukapanga kushirikiana naye kufanya kitu halafu baada ya muda utashangaa keshabadilisha gear.
Wengi wao hawana msimamo, wanabadilika kulingana na position walizopo......tena walio olewa ndo wasumbufu kuliko wanaowinda ndoa.
KE akiwa single anacheza game hadi utahisi una date malaika, baada ya ndoa anakunjua makucha yake.
Ni wachache sana wanaoweza kuishi mutual life, ila wengi wao ni parasite bila kujali kama wanauwezo kuliko wewe.