namlengo wetu
Member
- Nov 25, 2016
- 52
- 36
Laki mbili hapo bila kudanganya. Ila zetu zinakuwaga na mipango mingi saana..
Kwanini sasa na wanadai wawezeshwe ili waweze
Sikumaanisha kila aliyetafuta afanye matumizi binafsi, hapo utakuwa una maanisha hata watoto pia lazima wakatafute za kwao ili wafanye matumizi binafsi.Kipato cha familia ni kwa maana zitatumika kwa familia
kama mmoja kila akipata ni matumizi yake binafsi basi haiwezi kuwa kipato cha familia
Kipato cha familia ni laki 2
Laki 5 haihusu familia hahaha
kuna mtu mmoja alinambia mwanamke ukimpa lak 5 kwa ajili ya matumizi nyumban sababu unasafiri ikatokea safari ikafa ni kwamba ile lak5 ilishaisha so utoe pesa nyingine ya matumizi
Mkishakuwa wanandoa basi maamuzi ya familia yanafanyika pamoja, kwahiyo kama kuna vikoba sijui michango ya sherehe mnashirikishana na kufanya kwa nafasi iliyopo.kuna vicoba ,kuna michango ya kitchen party,sendoff,familia yake huko,saluni ,mikorogo mambo kibao hata hyo laki tano haitoshi itabidi na hyo laki ya baba imchangie kidogo mkuu
Kama kuhongwa hata wanaume wanahongwa vilevile,mwanaume sio ndugu yako pia.Kimsingi pato la familia linatakiwa litoke kwa mwanaume 100%.
Kama huwezi kuhudumia familia kwa mahitaji yote bora usioe.
Pesa ya mwanamke si ya kutegemea, kwanza huenda anahongwa na wanaume wengine hivyo kukufanya wewe mtegemezi wa pesa za wanaume wenzako kupitia kipochi cha mkeo.
Hawa wanawake wewe waone tu ila usifikiri ni ndugu zako.
hahaha mbona najua ndani yako una roho ya uuguziKatika general sense hapo familia ina laki2, ila ingekuwa ni familia yangu basi tuna laki7.
Maana kipatikanacho ni chetu,we become one.
Heaven Sent ukome kuhack id yangu.
Hiyo ni special & abnormal case.Kama kuhongwa hata wanaume wanahongwa vilevile,mwanaume sio ndugu yako pia.
Haya mambo mbona tunazidi kuyafanya uawe magumu hivi!!!
hahaha mbona najua ndani yako una roho ya uuguzi
mmmh ile degree unakaribia kugraduate niniMkishakuwa wanandoa basi maamuzi ya familia yanafanyika pamoja, kwahiyo kama kuna vikoba sijui michango ya sherehe mnashirikishana na kufanya kwa nafasi iliyopo.
Kuanza kutenga hiki cha huyu hiki cha yule ndipo migogoro huanzia hapo.
hehhee kwa kweli leo nimejua kuichezea haswa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nilishakwambia usiwe unachezea simu yangu huelewi, nitanunua kitochi.
Kufikiria kuwa kama mwanamke anachangia ktk kipato cha familia basi amehongwa ni tatizo, mnapooana it means you become one, we are both working sasa kwanini tusichangie wote ktk maendeleo ya familia? After all ni familia yetu.Hiyo ni special & abnormal case.
Kwenye familia mwanaume ni family protector & provider na mwanamke ni nest defender......sasa kama kuna mwanaume anahongwa na mwanamke hiyo ni kinyume na nature.
Nilishagraduate,now nafikiria kusomea kacertificate kauuguzi.mmmh ile degree unakaribia kugraduate nini