no9
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 188
- 18
Ni mara nyingi najiuliza ninani anapaswa kusema asante kwa mwenziye wanapomaliza ile kazi kubwa ya wawili wapendanao mume na mke,bf na gf nk namaanisha tendo la ndoa na asante inaweza kuwa busu,asnte ya mdomo asante ........wangu au kuangua kilio.naomba majibu ya pande zote mbili.
asante na wakilisha