hasara ni 10,000 mkuu, ametoa 8,000 na mkate wa thamani ya 2,000 hiyo ndio hasara inayofikia 10,000what ab 8000 aliyokwisha mpa chenji na mkate wa 2000 umesahau?
Hapo itategemea aliununua mkate sh. Ngapi na alitarajia kupata faida sh. Ngapi kwa kila mkate mmojaWewe ni muuzaji wa duka, mteja anakuja na shilingi elfu Kumi (10,000/-) feki anataka Mkate wa shilingi 2,000/- ...wewe bila kujua unaipokea lakini unagundua hauna change ya kumpa mteja unaamua kuomba change kwa jirani yako na hiyo hiyo 10,000 feki kisha unamrudishia mteja shilingi elfu nane (8,000/-) na mkate, baadae jirani anakuja kukuambia ile pesa uliyompa ni feki unaamua kuichukua na kumpa shilingi 10,000/- halali. Je, utakuwa umepata hasara ya shilingi ngapi?
A. 12,000
B. 18,000
C. 10,000
D. 20,000
E. 8,000
F. 2,000
soma vizuri alimpajirani feki akapewa halali,jirani akarudisha feki akapewa halali...hadi hapo ngoma droo hakuna hasara yoyote hapoELF 8 YA CHENJI + ELFU 2 YA MKATE+ ELFU KUMI YA JIRAN YAKO = 20,000
JIBU D
soma vizuri alimpajirani feki akapewa halali,jirani akarudisha feki akapewa halali...hadi hapo ngoma droo hakuna hasara yoyote hapo
1+0 = 0+1
unaelewa nini ukiangalia hizi namba...
Hiyo 10,000 ya ziada inatoka wapi tena mkuu wakati bado alikuwa hajatia mkono kwenye mfuko wake kutoa pesa yoyote?D. 20,000/=
ulimpa mteja mkate (2,000/=) + chenji (8,000/=)
wewe ukabakiwa na 10,000/= feki (ambayo ina thamani ya 0/=), yaani ni sawa na hajakulipa chochote
Jumla umeshapoteza 10,000/= bila kupata chochote
Bado ulitoa tena 10,000/= halali ukarudishiwa 10,000/=feki toka kule ulipoomba chenji.
Unapoteza 10,000/= nyingine tena
Jumla 20,000/=
Ok basi itakua jibu ni A hasara yake ni sh. 12000/= elfu 10 aliyoilipa kwa jirani baada ya krudishiwa feki na elfu 2 mkate alioondoka nao tapeli.Jiulize: Kwani mpaka tapeli anaondoka eneo la tukio muuza duka alishaingiza mkono mfukoni mwake au kwenye droo kuchukua pesa yoyote?