Je, utakuwa umepata hasara ya shilingi ngapi?

May 22, 2017
65
298
TWENDE SAWA.......
....................

Wewe ni muuzaji wa duka, mteja anakuja na shilingi elfu Kumi (10,000/-) feki anataka Mkate wa shilingi 2,000/- ...wewe bila kujua unaipokea lakini unagundua hauna change ya kumpa mteja unaamua kuomba change kwa jirani yako na hiyo hiyo 10,000 feki kisha unamrudishia mteja shilingi elfu nane (8,000/-) na mkate, baadae jirani anakuja kukuambia ile pesa uliyompa ni feki unaamua kuichukua na kumpa shilingi 10,000/- halali. Je, utakuwa umepata hasara ya shilingi ngapi?
A. 12,000

B. 18,000

C. 10,000

D. 20,000

E. 8,000

F. 2,000
 
Inawezekana hasara halisi isiwepo kwasababu hujui mkate at cost gharama yake. Kwenye majibu yako hasara elfu kumi. Mkate wa 2,000 na elfu nane ya fedha halali utakayomrejeshea aliekupa chenchi. Mteja alichukua hela ya mtoa chenchi.
 
JIBU C | Loss 10,000

Let Calculate

Tufanye mimi Dukani mtaji wangu ulikuwa 30,000 katika huo mtaji 28,000 Cash money na 2,000 ni Bidhaa ambao ni mkate. Kuwa makini na huu mtaji utavyopungua.

Taperi kaja na 10,000 Fake, nikampa jirani Direct, jirani akanipa 10,000 Ya chenjechenji, 2000 Tzs nikaweka kwenye Mtaji wangu wa Dukani na kuwa 30,000 Tzs then 8000 nikampa Taperi kama change na kumpa mkate wangu wenye thamani ya 2000 Tzs.

Mpaka hapo mimi sina loss sina faida nimetoa mkate(2000) na kugain 2000 cash Ila jirani kala loss ya 10,000 Tzs.

Also, Jirani akaniambia ile pesa Fake nami nikamrejeshea 10,000 Tzs, hivyo jirani Ka-clear loss, mimi nimetoa 10,000 kutoka kwenye mtaji wangu wa 30,000 Cash na kubaki na 20,000 Tzs.

THEREFORE:- Nimepata loss ya 10,000 Tzs.
 
Inawezekana hasara halisi isiwepo kwasababu hujui mkate at cost gharama yake. Kwenye majibu yako hasara elfu kumi. Mkate wa 2,000 na elfu nane ya fedha halali utakayomrejeshea aliekupa chenchi. Mteja alichukua hela ya mtoa chenchi.
mtoa chenji unamrejeshea 8000 yeye alikupa chenji ya 10,000 na si pesa unayotakiwa kumrejeshea mteja.
 
TWENDE SAWA.......
....................

Wewe ni muuzaji wa duka, mteja anakuja na shilingi elfu Kumi (10,000/-) feki anataka Mkate wa shilingi 2,000/- ...wewe bila kujua unaipokea lakini unagundua hauna change ya kumpa mteja unaamua kuomba change kwa jirani yako na hiyo hiyo 10,000 feki kisha unamrudishia mteja shilingi elfu nane (8,000/-) na mkate, baadae jirani anakuja kukuambia ile pesa uliyompa ni feki unaamua kuichukua na kumpa shilingi 10,000/- halali. Je, utakuwa umepata hasara ya shilingi ngapi?
A. 12,000

B. 18,000

C. 10,000

D. 20,000

E. 8,000

F. 2,000
C
 
mtoa chenji unamrejeshea 8000 yeye alikupa chenji ya 10,000 na si pesa unayotakiwa kumrejeshea mteja.
Kweli mkuu, alitoa chenchi ya 10,000 na 2,000 nikabaki nayo kama bei ya mkate. Nitachukua 2,000 niliyobaki nayo jumlisha 8,000 na jumla itakuwa 10,000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom