Swali kwa mababa wa kambo

Shukrani sana. Huwa nashangaa sana wanaume wengi hasa humu JF huwa wanadhani au kufikiria kuwa ili mwanamke awe na furaha duniani ni lazima aolewe!!!
 
Halafu kwa nini hawawasemi hao wanaume wanaosababisha kuwe na Single mothers? Kila siku humu JF ni kuwasema, kuwasakama na kuwanyanyasa Single mothers!!! What about hao wanaume waliowazalisha? Kwamba wao wamefanya sahihi kabisa?????!!!!!!
 
Halafu kwa nini hawawasemi hao wanaume wanaosababisha kuwe na Single mothers? Kila siku humu JF ni kuwasema, kuwasakama na kuwanyanyasa Single mothers!!! What about hao wanaume waliowazalisha? Kwamba wao wamefanya sahihi kabisa?????!!!!!!
Wanaume hawakoseagi(ma-mr.right)after all single mothers wanawabaka ili wajitie mimba wao aaanhh..
 
Shukrani sana. Huwa nashangaa sana wanaume wengi hasa humu JF huwa wanadhani au kufikiria kuwa ili mwanamke awe na furaha duniani ni lazima aolewe!!!
Kwahiyo unaunga mkono usingle parent? Sawa mwanamke kipaumbele chake sio kuwa na familia ya baba, mama, mtoto. Lakini hii kuzaa kwa makusudi na kuachana haoni kama mtoto ananyimwa haki yake ya kupata malezi ya baba na mama?
 
Halafu kwa nini hawawasemi hao wanaume wanaosababisha kuwe na Single mothers? Kila siku humu JF ni kuwasema, kuwasakama na kuwanyanyasa Single mothers!!! What about hao wanaume waliowazalisha? Kwamba wao wamefanya sahihi kabisa?????!!!!!!
Basi mkuu tuliza hasira. Kuanzia sasa tutakua tunawaunganisha wote singo babaz na singo mamaz
 
Wanaume hawakoseagi(ma-mr.right)after all single mothers wanawabaka ili wajitie mimba wao aaanhh..
Hiyo ni nature tu ndugu yangu. Kuna mambo ambayo mwanaune anahukumiwa na mwanamke haukumiei. Hivyo mara nyingine zinatoeka situations mwanamke anahukimiwa lakini haiwi hivyo kwa mwanaume, na hii ni kwa sababu ya thamani ambazo hawa wawili wanaenda nazo ndoani.

Mwanaume anahukumiwa kwa uwezo wa kuprovide, anaweza kuwa singo baba au ana maex wengi lakini ukija wakagi wa kuoa sifa kubwa itakayoangaliwa ni financial stability.

Mwanamke anahukumiwa kwa vigezo vya purity and loyalty. Akiws na hivyo vigezo hata awe masikini haina shida. Sasa anapokua singo mama hapo ni kipengere.

Ukiangalia unaona sio fair kwa kila jinsia singo baba na singo mama wote ni failed parents, kwanini asakamwe single mama? Mwanaume na mwanamke wasiokua na hela wote ni masikini kwanini asakamwe mwanaume?. It's not fair but that's nature nathing we can do to change it.
 
Nimeshangaa sana eti naye ana mke na kuna watoto wanamuita Baba!!!!!
Familia ninayo(mke na mtoto mmoja), na moja ya vitu ambavyo niliamua kukichukulia kwa uzito sana ni suala la kuzaa.

Niliakikisha ninesimama kiuchumi na pia nina uhakika mwanamke ninaezaa nae ndie niliyemchagua kuishi nae maisha yote yaliyobaki hapa duniani, na hii ni kwa sababu natambua umuhimu wa mtoto kupata malezi ya baba na mama.

Kama kuwa single parent au kuunga mkono usingle parent ndio ustaarabu basi mimi sipo tayari kuufata huo ustaarabu.

Msimamo wangu mtoto ana haki ya kupata malezi ya baba na mama, na hajalazimisha kuzaliwa. Kwahiyo kabla ya kuzaa akikisheni mnatanguliza akili na mipango. Kuzaa halafu mtoto kujikuta kwenye familia iliyovunjika then both singo baba and singo mama are failed parents. Siwezi kuunga mkono ilo suala.
 

Seriously? You are a mental health therapist and you can accurately diagnose a patient based on their comments online? Mbona kama wewe ndo punguani sasa?
 
Aaa wapi Mkuu. Mimi pia ni wa zamani. Hata hizo enzi zetu walizaa sana nje na waliolewa na kuoa vizuri sana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…