Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,356
- 2,477
Acha uongo!!!!Mimi na mke wangu tuna watoto saba, ili kuonesha watoto wetu wote ni sawa huwa mama yao namwita kwa jina la mtoto wa kwanza siku ya Jumatatu, mtoto wa pili siku ya jumanne, wa tatu hadi wa saba vivo hivyo.