Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 4,636
- 15,249
Singo mama wapo na watakuwepo atake asitake, akichukia akahamie porini huko na bikra wake😂Tajiri anatamani wote wangepigwa chuma MO29 wakabaki wao wasio na watoto nje😆
Singo mama wapo na watakuwepo atake asitake, akichukia akahamie porini huko na bikra wake😂Tajiri anatamani wote wangepigwa chuma MO29 wakabaki wao wasio na watoto nje😆
Naam mkuu 😎.Oya baba Saba 🔥
Kijana wako wa kufata nyayo zako Nipo hapaNaam mkuu 😎.
Au wanunue island yao pekee yao kama ya Epstein waenjoy maisha🫴🏾😃Singo mama wapo na watakuwepo atake asitake, akichukia akahamie porini huko na bikra wake😂
We defend women rights and wrongs!Haijalishi! Popote atakapotukanwa mwanamke ntanyanyuka kumkimgia kifua! Until u guys stop looking down on women!
Karibu sana mkuu, tusibague watoto wetu.Kijana wako wa kufata nyayo zako Nipo hapa
Lazma niwe baba Saba 💪🏿
Well said mama, hawa hawajatambua kwamba kuna wanawake wana akili sana, kuna watu wanajitambua vizuri sio kila mwanamke ni wa kumuendea hovyohovyo kama walivyozoea! Mwisho wa siku kutujengea makundi tusiwe na umoja! Watukome🙌🏾We defend women rights and wrongs!
Maturity is realizing that: Wanawake hatuchukiani kwa asili bali kwa kutengenezwa…. Mfumo/mfumo dume umetuweka wanawake katika hali ya kushindana/kushindanishwa. Kikawaida mkishindanishwa lazima mchukiane!
Tatizo mnajifanyaga mpo ngangari ila ukifika wakati wa kukabiliana na consequences za maamuzi yenu mnajifanya victims.We defend women rights and wrongs!
Maturity is realizing that: Wanawake hatuchukiani kwa asili bali kwa kutengenezwa…. Mfumo/mfumo dume umetuweka wanawake katika hali ya kushindana/kushindanishwa. Kikawaida mkishindanishwa lazima mchukiane!
Dah.!Nami nakuchomekea kaswali kangu hapo..
Ulianzaje anzaje kuoa single maza mkuu?
Dah.! Swali gumu. Hapo kwa kweli kati ya baba mzazi na baba wa kambo mmoja atumie busara tu kumwachia nafasi mwenzakeNa mimi nina swali hapo mkubwa
Ukioa mwanamke mwenye mtoto, yule mtoto akakua akataka kuoa/ kuolewa, siku ya ndoa yao kwenye meza ya wazazi atakaa mama wa mtoto na mume aliyemlea yule mtoto? Au mama wa yule mtoto na mzazi mwenzake?
Msaada tutani
Unaona nini kikitokea hapo mkubwa 😂 😂 😂 😂 😂 😂Dah.! Swali gumu. Hapo kwa kweli kati ya baba mzazi na baba wa kambo mmoja atumie busara tu kumwachia nafasi mwenzake
Mama George.Ulikutana na mkeo akiwa tayari ana mtoto anaitwa John. Baada ya kuishi pamoja mkazaa mtoto mkamwita George.
Je, utamwita mkeo mama John au mama George?
Nadhani jamii imempa Mwanamke mzigo wa kusimamia maadili ndo maana analaumiwa.Halafu kwa nini hawawasemi hao wanaume wanaosababisha kuwe na Single mothers? Kila siku humu JF ni kuwasema, kuwasakama na kuwanyanyasa Single mothers!!! What about hao wanaume waliowazalisha? Kwamba wao wamefanya sahihi kabisa?????!!!!!!
Mkuu, kwenye jamii niliyotoka mabinti wa zamani hawakuzaa kiwepesi bila ndoa. Mimba ukiwa kwa wazazi hujaolewa kijijini ilikuwa ni ishu ya kutisha na aibu, sasa hivi ni kawaida.Aaa wapi Mkuu. Mimi pia ni wa zamani. Hata hizo enzi zetu walizaa sana nje na waliolewa na kuoa vizuri sana tu.
Hela natafuta mwanangu. Mhoji bi mkubwa hapo home akuambie baba ako halisi ni nani atakupa habari zangu. Kuwa na nidhamu unapotumia mitandao utakuja kutukana baba zako.Mambo madogo sana hayo kama Mwanaume Ukisha Anza kuyatilia maanani basi hutoshi kwenye nafasi yako.
Mimi kwetu tupo Wawili na Kuna mtoto wa mama Mkubwa tulimchukua akiwa mdogo kabisa, Mpaka Leo bi Mkubwa anaitwa jina la huyo mtoto wa Mama Mkubwa Wala kwetu sio issue na hata Kwa mzee
Majina huwa yanakuja Automatic tu, tafuta Hela uache kucare vitu vya Kitoto ivo