Swali kwa mababa wa kambo

Swali kwa mababa wa kambo

Sio kweli, na hata kama single mother sioni shida.... Tatizo ni kuwa attack single mama kwa namna yenye kudhalilisha ndani yake. Single mama sio dhambi.
Halafu Mimi ni mama ungewahi kuzaliwa ningekuzalia mapacha
Mfano kwenye post ni kwa namna gani single mother amedhalilishwa.

Inaweza ukawa na feeling zako binafsi labda post imelenga dhihaka lakini sio kila wakati hisia zitakua sawa.

Kwahiyo tuichukue tu post kama ilivyo, unafikiri ni kwa namna gani single mother amedhalilishwa
 
Haijalishi! Popote atakapotukanwa mwanamke ntanyanyuka kumkimgia kifua! Until u guys stop looking down on women!
Mpaka kufikia sasa kuanzia post mpaka comments ni wapi katukanwa mwanamke?
 
Back
Top Bottom