Swali kwa mababa wa kambo

Swali kwa mababa wa kambo

Hiyo ni nature tu ndugu yangu. Kuna mambo ambayo mwanaune anahukumiwa na mwanamke haukumiei. Hivyo mara nyingine zinatoeka situations mwanamke anahukimiwa lakini haiwi hivyo kwa mwanaume, na hii ni kwa sababu ya thamani ambazo hawa wawili wanaenda nazo ndoani.

Mwanaume anahukumiwa kwa uwezo wa kuprovide, anaweza kuwa singo baba au ana maex wengi lakini ukija wakagi wa kuoa sifa kubwa itakayoangaliwa ni financial stability.

Mwanamke anahukumiwa kwa vigezo vya purity and loyalty. Akiws na hivyo vigezo hata awe masikini haina shida. Sasa anapokua singo mama hapo ni kipengere.

Ukiangalia unaona sio fair kwa kila jinsia singo baba na singo mama wote ni failed parents, kwanini asakamwe single mama? Mwanaume na mwanamke wasiokua na hela wote ni masikini kwanini asakamwe mwanaume?. It's not fair but that's nature nathing we can do to change it.
Am speechless..
 
Mimi nitamuita kwa jina la mtoto niliyezaa naye,kamwe siwezi kumuita kwa jina la mtoto mwingine na hii haimaanishi kwamba simpendi Yule mtoto mwingine.

Ila nitajiskia faraja Sana nikimuita kwa jina la mtoto wetu
 
Tumetoka nae mbali mpaka kuanzisha huu uzi ujue kuna sababu! We fatilia..
I get it. Hata mimi huwa namsoma sana tu na huwa sikubaliani na baadhi ya mitazamo yake. Ila attacks nyingi dhidi yake kwenye huu uzi wake ni very personal and childish, to say the least. Sasa mtu unaanzaje kusema eti hana hela au ni muhanga wa mapenzi kisa tu hujapenda alichoandika? Na baadhi ya attackers wanajiita mental health professionals. Kuhusu swali lake, binafsi nikimpenda single mother jina lolote nikimkuta nalo anaitwa ndo hilohilo na mimi nitamwita. Hata mtoto asiye wangu biologically naishi naye vizuri tu bila kutarajia malipo yeyote kutoka kwake.
 
I get it. Hata mimi huwa namsoma sana tu na huwa sikubaliani na baadhi ya mitazamo yake. Ila attacks nyingi dhidi yake kwenye huu uzi wake ni very personal and childish, to say the least. Sasa mtu unaanzaje kusema eti hana hela au ni muhanga wa mapenzi kisa tu hujapenda alichoandika? Na baadhi ya attackers wanajiita mental health professionals. Kuhusu swali lake, binafsi nikimpenda single mother jina lolote nikimkuta nalo anaitwa ndo hilohilo na mimi nitamwita. Hata mtoto asiye wangu biologically naishi naye vizuri tu bila kutarajia malipo yeyote kutoka kwake.
Nakuelewa na ninafahamu unamzungumzia Dr. Mariposa hapa ila kuna uzi mwingine tulikuwa na mjadala mzito wa single moms ndio akaanzisha huu kwahiyo tukahama naye🤣
 
Nakuelewa na ninafahamu unamzungumzia Dr. Mariposa hapa ila kuna uzi mwingine tulikuwa na mjadala mzito wa single moms ndio akaanzisha huu kwahiyo tukahama naye🤣
Kwanini hao single mamaz wanaonekana ni kundi ambalo linatakiwa kutetewa. Ikiwa usingo mama ni ishara ya kujitambua na upambanaji kama wengi wanavyisema hii maana yake kuwa single mama ni sifa njema, na sifa njema inajiuza yenyewe automatically. Sasa inafikirisha kuona single mamaz wanaonekana ni kundi linalohitaji kulindwa na kusafishwa taswira yao.
 
Mimi nitamuita kwa jina la mtoto niliyezaa naye,kamwe siwezi kumuita kwa jina la mtoto mwingine na hii haimaanishi kwamba simpendi Yule mtoto mwingine.

Ila nitajiskia faraja Sana nikimuita kwa jina la mtoto wetu
Short and clear.
 
Kwanini hao single mamaz wanaonekana ni kundi ambalo linatakiwa kutetewa. Ikiwa usingo mama ni ishara ya kujitambua na upambanaji kama wengi wanavyisema hii maana yake kuwa single mama ni sifa njema, na sifa njema inajiuza yenyewe automatically. Sasa inafikirisha kuona single mamaz wanaonekana ni kundi linalohitaji kulindwa na kusafishwa taswira yao.
Hakuna alosema ni kundi jema, mtu kuwa na mtoto sio kitu cha ajabu na wala si jambo jioya hapa duniani, walikuwepo na wataendelea kuwepo no matter what! Ila udhalilishaji na kuwatukana sana ndio kitu kinashangaza! Mtu kuwa single mama sio kuwa mlemavu, wanaume mnachukulia hili jambo kama la makusudi kwa kila mwanamke! Wewe hapo unaweza ukawa unamuamini sana huyo mkeo siku akiamua kukupiga tukio kw akisirani ukamuacha tayari atakuwa single mama, siku ukifa lazima atabaki singo mama, unasemaje asiolewe na wanaume wenzio?

Ni kwanini mnahisi kila mtu anaenjoy kuwa hivyo? Na hata kama kuna kundi linaenjoy ni kosa kisheria? Kuna kundi kunwa lina majeraha kisa nyie haohao wanaume na ndiomaana wanaamua kujikwamuankiuchumi kisha kuzaa na yeyote na kulea wenyewe, sio kila mwanamke mwenye mtoto ni punguwani, sio kila aliyezalishwa ni malaya au hana akili! Sio kila singo mama hana maisha au pesa! Sijui unanielewaa???

waacheni watu wawe huru acheni kuwapangania wanaume wenzenu maisha mnawapanikisha mwisho wa siku wanaoshi kujioa! Huoni hizi kampeni unazowapigia singo maza kutoolewa ungetumia kukomalia ushoga upungue ungeokoa vijana wangapi? Instead unabebelea mambo yasiyo na maana mtu kaamua kuoa mwanamke mwenye mtoto yakimkuta ndio aanze kutusi watu? Tabia zake chafu zinamhusu vipi huyo mtoto? Au ukizaa kuna hormone ya umalaya na kutojielewa inazalishwa?
 
Hakuna alosema ni kundi jema, mtu kuwa na mtoto sio kitu cha ajabu na wala si jambo jioya hapa duniani, walikuwepo na wataendelea kuwepo no matter what! Ila udhalilishaji na kuwatukana sana ndio kitu kinashangaza! Mtu kuwa single mama sio kuwa mlemavu, wanaume mnachukulia hili jambo kama la makusudi kwa kila mwanamke! Wewe hapo unaweza ukawa unamuamini sana huyo mkeo siku akiamua kukupiga tukio kw akisirani ukamuacha tayari atakuwa single mama, siku ukifa lazima atabaki singo mama, unasemaje asiolewe na wanaume wenzio?

Ni kwanini mnahisi kila mtu anaenjoy kuwa hivyo? Na hata kama kuna kundi linaenjoy ni kosa kisheria? Kuna kundi kunwa lina majeraha kisa nyie haohao wanaume na ndiomaana wanaamua kujikwamuankiuchumi kisha kuzaa na yeyote na kulea wenyewe, sio kila mwanamke mwenye mtoto ni punguwani, sio kila aliyezalishwa ni malaya au hana akili! Sio kila singo mama hana maisha au pesa! Sijui unanielewaa???

waacheni watu wawe huru acheni kuwapangania wanaume wenzenu maisha mnawapanikisha mwisho wa siku wanaoshi kujioa! Huoni hizi kampeni unazowapigia singo maza kutoolewa ungetumia kukomalia ushoga upungue ungeokoa vijana wangapi? Instead unabebelea mambo yasiyo na maana mtu kaamua kuoa mwanamke mwenye mtoto yakimkuta ndio aanze kutusi watu? Tabia zake chafu zinamhusu vipi huyo mtoto? Au ukizaa kuna hormone ya umalaya na kutojielewa inazalishwa?
Single baba and single mama are failed parents. That's a fact, no need of all these sugarcoating.

Waoane wenyewe kwa wenyewe. Haya mambo ya kuanza mechi 1-0 bloodline ya ukoo inavulugika.

Nimeona hapo umegusia mwanamke aliefiwa na mumewe. Huyo ni mjane sio single mama.
 
Single baba and single mama are failed parents. That's a fact, no need of all these sugarcoating.

Waoane wenyewe kwa wenyewe. Haya mambo ya kuanza mechi 1-0 bloodline ya ukoo inavulugika.

Nimeona hapo umegusia mwanamke aliefiwa na mumewe. Huyo ni mjane sio single mama.
Sawa
 
Tunamuomba mheshimiwa rais ajitokeze kuibu swali hili mana anawatoto watatu kila mmoja na baba yake so anauzoefu
Dah! Mimi hi mada haijanichekesha wala kunifurahisha.

Ila hii comment imenichekesha sana! 😂
 
I get it. Hata mimi huwa namsoma sana tu na huwa sikubaliani na baadhi ya mitazamo yake. Ila attacks nyingi dhidi yake kwenye huu uzi wake ni very personal and childish, to say the least. Sasa mtu unaanzaje kusema eti hana hela au ni muhanga wa mapenzi kisa tu hujapenda alichoandika? Na baadhi ya attackers wanajiita mental health professionals. Kuhusu swali lake, binafsi nikimpenda single mother jina lolote nikimkuta nalo anaitwa ndo hilohilo na mimi nitamwita. Hata mtoto asiye wangu biologically naishi naye vizuri tu bila kutarajia malipo yeyote kutoka kwake.
Yaaani unasikia nanii afya ya akili sio utani ni kweli, ukiona mtu anachukia kutoka moyoni kundi fulani la watu kiasi kwamba kila akikaa anawaza afanye nini ili aweze kuumiza hilo kundi kwa namna yoyote ile tayari mentally hayupo sawa na hawezi kua sawa hadi apate tiba,
Huyo anakuja kuja kwa hawa wanaitwa Misogynists.
 
Back
Top Bottom