Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,246
- 40,256
- Thread starter
-
- #81
Kumbe ni mwanamke, ndio maana nikashangaa inakuaje dume zima linatumia maneno ya "alooooo" na "pyeee"Uko sawa kabisa dia, hapo hapo by choice kuna wengine waliamua kuzaa baada ya kuona ndoa hazipo, umri unasonga kabla hajafika menopause anazaa mtoto mmoja au wawili anatulia, sasa sisi WaTz na ushamba wetu bado tuna mawazo ya kizamani yote hii ni watu kutokusafiri akili zimeganda sehemu moja tu
Dunia ya leo ukija na wenge la descpline za kizamani utateseka sana, maana watu hawajali na vipaumbele vimebadilika kabisa. Binti wa jirani yako keshazaa na ana video za utupu zimetapakaa mitandaoni, anachumbiwa na anaolewa na hakuna anayejali principle zako za maisha kuwa huyo hafai kuolewa.Uko sawa kabisa dia, hapo hapo by choice kuna wengine waliamua kuzaa baada ya kuona ndoa hazipo, umri unasonga kabla hajafika menopause anazaa mtoto mmoja au wawili anatulia, sasa sisi WaTz na ushamba wetu bado tuna mawazo ya kizamani yote hii ni watu kutokusafiri akili zimeganda sehemu moja tu
Mkuu kwani ukijibiwa, ukataka kujua zaidi ni kosa? Jibu alilonipa jamaa ni refu sana sikujua nini exactly anataka kusema ndio maana nikaomba jibu ambalo ni short and clear
Swali jepesi na huru lakini yanatolewa majibu kama ya kujihami vileNJe ya mada.
Watu punguzeni hasira nyoosheni maelezo, kama umeendeleza familia ya mwenzio kubali tu.
Hakuna wa kukucheka
Wala hakuna wa kuwachapa 😂NJe ya mada.
Watu punguzeni hasira nyoosheni maelezo, kama umeendeleza familia ya mwenzio kubali tu.
Hakuna wa kukucheka
Ni kisangaMkuu, kwa jamii ya leo kama ilivyo kwa baadhi ya wanaume kuzaa na wanawake tofauti hawaoni ni kosa wapo pia wanawake kuzaa na wanaume tofauti hawaoni kama ni kosa. Jamii hii si ya enzi zetu na mama zetu. Zile enzi za ukipata mimba kabla ya ndoa ni laana.
Ni kweli % kubwa ni nyege tu, Ila kwa tech ya leo kupata mimba na kulea mimba mpaka uzae ni maamuzi, zile nyakati za kwamba mwanamke akipata mimba imekula kwake ni kama zinaanza kuondoka, siku hizi mimba wanalea by choice na wapo ambao mimba wanabeba na wao ndo wanamkimbia mwanaume.Single babaz na single mamaz tulionao mtaani katika kizazi cha vijana wa sasa wengi wao ni kwa sababu ya ujinga wa kuweka nyege na tamaa mbele ya akili na mipango.
Mimba sio malaria ambayo inakuja kwa kushtukiza.
Angalao huyo wa comment namba 57 katoa jibu ambalo halikuwepo katika multiple choices lakini linaeleweka.Soma comment no. 57 ambayo ww unaona umejibiwa poa, afu angalia na majibu kwenye ukurasa wa kwanza, yana utofauti gani?
Comment no 57 amesema anamuita kwa jina lake mwanamke, kwani hili jibu lipo kati ya yale uliyoyataka?
Comment no 2 halieleweki?Angalao huyo wa comment namba 57 katoa jibu ambalo halikuwepo katika multiple choices lakini linaeleweka.
Sasa ndugu yule wa mwanzo yeye dizaini kama kaja kwa kujihami.
Mimi na watoto wasionihusu hawaniusu tuUlikutana na mkeo akiwa tayari ana mtoto anaitwa John. Baada ya kuishi pamoja mkazaa mtoto mkamwita George.
Je, utamwita mkeo mama John au mama George?
Ulikutana na mkeo akiwa tayari ana mtoto anaitwa John. Baada ya kuishi pamoja mkazaa mtoto mkamwita George.
Je, utamwita mkeo mama John au mama George?
Mababa wa kambo mnatoka sana nje ya pointEndelea kutafuta Ajira. Ukipata utakuwa busy na mambo ya maana.
Nashindwa kuelewa raia wengine uko juu wanashindwaje kujibu short and clear kama hiviMimi na watoto wasionihusu hawaniusu tu
Ukiusoma kwa umakini huu uzi,issue hapa sio tu single mother,bali issue ni ubaguzi dhidi ya mtoto wa single maza,hili ndio lengo kuu la muuliza swali kwenye huu uzi,Discrimination against stepchildren.
Punguza spana bwashee utatoa mtu damu 😄😄😄Wewe pimbi mimi sio mdogo wako,ukiona huyo single maza anaitwa kwa jina lingine,nenda kamuulize mumewe atakupa majibu,
Halafu punguza kukaa sana na wanawake,mpaka kujua leo mama fulani kaja kitaani na mumewe na kabadili jina,huna kazi ya kufanya? Unapata wapi muda wa kufuatilia issue za single maza wa kitaani?
Wewe elewana na mumeo akuite Mama nani kwa unavyotaka wewe,usitusumbue hapa.
Sababu ninyi ma mama wa kambo mnatoka sana nje ya ndoaMababa wa kambo mnatoka sana nje ya point