Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,321
- 201,543
Hongera mkuuJamaa muache Tu
Mimi sina tabia kama yake
Siwez,,thamani yangu Ni zaidi ya hela.ata ingekua billion ncngeweza



























Washangaa nini kaka?
Kama kweli ndiyo uko hivyo lazima nishangae labda ulaya huko ila Afrika dada wanawake wengi sana wapo kimasilai ya pesa mfano kylini miss TanzaniaWashangaa nini kaka?
Mimi sio mbaguzi naamini nyapu zote zinaangalia chini hakuna inayoangalia juuHongera mkuu
Binadamu ni dhaifu sana katika pesa, ni dhaifu mnooo. Yule alomsaliti Yesu hakuwa mwanamke. Hence hata wanaume hawakatai pesa.
K Lynn mke wa mtu tayari.pia huwez linganisha pesa na utu wa mwanamke .unless awe hajui thamani yakeKama kweli ndiyo uko hivyo lazima nishangae labda ulaya huko ila Afrika dada wanawake wengi sana wapo kimasilai ya pesa mfano kylini miss Tanzania
Dah...kwani wewe unaweza kujirisk kwa pesa ngapi?Nitakataa, hakuna cha bure kiasi hicho aisee. Alafu million 2 ni pesa ndogo sana kujirisk namna hiyo.

Ndiyo sijakataa kama wewe upo hivyo ni sawa ni mwakilishi wa wachache katika wengi lakini pesa imekuwa udhaifu Mkubwa kwa mabinti wengi Afrika ilo swala la utu hata awajui kama lipo tena.K Lynn mke wa mtu tayari.pia huwez linganisha pesa na utu wa mwanamke .unless awe hajui thamani yake
Fanya kazi kijana. Maandiko yamesema utakula kwa jashoMimi naomba tuu! unitumie vocha ya buku
Mungu aturehemuNdiyo sijakataa kama wewe upo hivyo ni sawa ni mwakilishi wa wachache katika wengi lakini pesa imekuwa udhaifu Mkubwa kwa mabinti wengi Afrika ilo swala la utu hata awajui kama lipo tena.
Kumbe hadi wewe alikukula....!!! (no offense nimeshangaa tuu) nimesikia mara kibao wakisema anakula wengi yanaingia huku yanatokea kule.
Mie akinipa Mahaba yangu tosha kabisa hizo alfu lela ulela hata hazinihusu.
Kwanza ni Mwafrika mwenye asili ya kitanzania ana sifa zote za kuitwa rijali aka mwanaume kazi na wakati wa kazi huwa hakopeshi. Saa ingine huwa ananiambia Kasie niko kazini namwambia sawa Dadii piga kazi ukimaliza huko kuna kazi nyingine hapa......
Utasikia Kasie bana..... hehehehehhee Shout Out to Dadiii.
Matataaaa Kitata.
Hahahaha.Nimeshamjibu, natumai ameridhika.
Nafikiri mtoa mada anaongelea wauza nyuchi, sababu ametanguliza pesa mbele. Hiyo ni sawa na ametoa dau hivo mdada aidha aithaminishe hela na uchi wake kisha atoe huduma au mwanamke atangaze dau lake.
Kuna watu kadhaa walishanifata PM nikawaambia dau langu, kuwa hilo ni kama Consultation Fee ya kumuona doctor yaani kwa dau nililotaja anapata handshake na maongezi na tabasamu tuu. Hakuna hug wala kiss na maongezi hayo yanakuwa public place nnapotaka mie. Wakashindwa wakakimbia..... wengi huniambia mie mkorofi..... sijui ni kweli....
Kasie Matata.
Fanya kazi kijana. Maandiko yamesema utakula kwa jasho
Hyo picha uliyoweka hapo ,ndevu kama zoteAliye kuambia mm kijana nan?



Hyo picha uliyoweka hapo ,ndevu kama zote![]()
😂😂😂nasikitika sana kuniwekea maneno mdomon😂😂😂Mi nachukua we endelea kukataa