Swali kwa dada zangu wa JF

Swali kwa dada zangu wa JF

mkuu hivi umewatajia tsh 20000 au tsh 2000000?
sijaona wa kukataa tsh 2000000 kwa sasa si tu ndani ya jf hata nje ya jf tena watataka kuolewa kabisaaa kwa hiyo milioni 2....yani siku hizi kahaba tu unamshusha bei hadi 1200 we unajilia tu
mkuu usemalo kweli yani watusikuhizi na kubembelezea anafanya sembuse hiyo 2mil watu hata kule kwingine wanatoa, hela inafanya mtu mtumwa wa vingi, mkute mtu kodi imeisha, ndani hana hata mafuta, unga, mchele, anadaiwa gengeni kwa mangi, maji, hela ya usafi jamaniii anatoa mpaka ambavyo hatatakiwaa hela inatoa utu wa mtu
 
nishasema bora ipatikane ya Zanana Juice!
zote zambi tu!
sasa pa kuandikwa kwenye black book la Lucifer hivi hivi!
hataa!
h haaa bora ulojisemea ukweli maana wengine wanjirukia rukia tuu ukijiwazia kodi imeisha ukiwaza nikiamuaa raha twapata wote unajikuta kilaini umejiachia kunako trap ya hela 🙂🙂🙂🙂🙂 helaaaaaaaa
 
Kwa wanaume hawa siku hizi hata kabla hujamaliza kuhesabu 1-100 ye kashafika 10000000!
AHAHAHAHHAHAHHAHHAHAHHA mwayego ukizipata ziweke kwenye tigopesa kasanue paja!
Raha nipe mwenyewe mkuu.
 
Mwaka mzima unaweza kuta hujaongwa hata laki moja. halafu mtu akupe million 2 cash. Utakataa kweli...
Hata laki? Acha utani, anyway mil 2 haziwezi nizuzua na unakuta MTU mwenyewe hana mvuto., MTU naishi Nyumba ya 1.8 bado gharama nyingine nizuzuliwe na 2mil? Ongezeni dau msituchoshe na mil 2
 
Kwaiyo wewe ndo unatulisha?
Aisee nimeshangaa sana hawa watu, yaani wanaona 2mil mbili kubwa? Hapo wanatulipia kodi?? Au wanadhani tunalala vyumba vya buku 5? Mm na umaskini wangu nalipa 150000 kwa mwezi Leo nizuzuliwe na 2mil??
Ntapata wasiwasi na ya wanaume wa Jf, mm sijawahi kukutana hata na mmoja labda miss nambie kama ulishawahi kutana na mmoja na yupo VIP?
 
dadii mwenyewe ndio chakula cha wengi

Kumbe hadi wewe alikukula....!!! (no offense nimeshangaa tuu) nimesikia mara kibao wakisema anakula wengi yanaingia huku yanatokea kule.
Mie akinipa Mahaba yangu tosha kabisa hizo alfu lela ulela hata hazinihusu.

Kwanza ni Mwafrika mwenye asili ya kitanzania ana sifa zote za kuitwa rijali aka mwanaume kazi na wakati wa kazi huwa hakopeshi. Saa ingine huwa ananiambia Kasie niko kazini namwambia sawa Dadii piga kazi ukimaliza huko kuna kazi nyingine hapa......

Utasikia Kasie bana..... hehehehehhee Shout Out to Dadiii.

Matataaaa Kitata.
 
Kumbe hadi wewe alikukula....!!! (no offense nimeshangaa tuu) nimesikia mara kibao wakisema anakula wengi yanaingia huku yanatokea kule.
Mie akinipa Mahaba yangu tosha kabisa hizo alfu lela ulela hata hazinihusu.

Kwanza ni Mwafrika mwenye asili ya kitanzania ana sifa zote za kuitwa rijali aka mwanaume kazi na wakati wa kazi huwa hakopeshi. Saa ingine huwa ananiambia Kasie niko kazini namwambia sawa Dadii piga kazi ukimaliza huko kuna kazi nyingine hapa......

Utasikia Kasie bana..... hehehehehhee Shout Out to Dadiii.

Matataaaa Kitata.
kichwani kwako kuna kitu sio bure
 
kichwani kwako kuna kitu sio bure

Hhahahahahahaaa kuna Mahaba Matataa.........

Akinitekenya ananimaliza hadi najingáta

Sindida Dodoma ma ma ma ma ma ma

Tabora na Tanga nga nga nga nga nga nga.....

Katoto ketu kapo njiani uhakika miezi tisa....

(Dadii) wakisena unakula wengi wee nipe Mahaba mia mia tena kwa mikogo

Hadi wapiga domo wanunee tena ongeza mbwembwe.....

Mahaba Matata ta ta ta ta ta ta

Utamu wa banana na na na na na na

Hehehehehehee Shout Out to Dadii....

K' Matata.
 
You are not selling your dignity rather you are helping a friend.
huo upuuzi siwezi Fanya ...mwili wangu nauheshimu aisee ...siwezi mvulia mtu nguo eti just because ananipa hela ....my dignity is more valuable than any amount of money
 
Back
Top Bottom