Swali kwa dada zangu wa JF

Swali kwa dada zangu wa JF

Nimeshamjibu, natumai ameridhika.

Nafikiri mtoa mada anaongelea wauza nyuchi, sababu ametanguliza pesa mbele. Hiyo ni sawa na ametoa dau hivo mdada aidha aithaminishe hela na uchi wake kisha atoe huduma au mwanamke atangaze dau lake.

Kuna watu kadhaa walishanifata PM nikawaambia dau langu, kuwa hilo ni kama Consultation Fee ya kumuona doctor yaani kwa dau nililotaja anapata handshake na maongezi na tabasamu tuu. Hakuna hug wala kiss na maongezi hayo yanakuwa public place nnapotaka mie. Wakashindwa wakakimbia..... wengi huniambia mie mkorofi..... sijui ni kweli....

Kasie Matata.
Kasiee,

Utu ni thamani,
Mtu akija na dau hilo, Mwambie mie nakutunuku buree,

Mbona nye.ge zake zitakataa
 
Pole kwa masaibu yanayokupata!!
Kwa wanaume hawa siku hizi hata kabla hujamaliza kuhesabu 1-100 ye kashafika 10000000!
AHAHAHAHHAHAHHAHHAHAHHA mwayego ukizipata ziweke kwenye tigopesa kasanue paja!
 
Hahahaahah
Love you Kasieeee
Kumbe hadi wewe alikukula....!!! (no offense nimeshangaa tuu) nimesikia mara kibao wakisema anakula wengi yanaingia huku yanatokea kule.
Mie akinipa Mahaba yangu tosha kabisa hizo alfu lela ulela hata hazinihusu.

Kwanza ni Mwafrika mwenye asili ya kitanzania ana sifa zote za kuitwa rijali aka mwanaume kazi na wakati wa kazi huwa hakopeshi. Saa ingine huwa ananiambia Kasie niko kazini namwambia sawa Dadii piga kazi ukimaliza huko kuna kazi nyingine hapa......

Utasikia Kasie bana..... hehehehehhee Shout Out to Dadiii.

Matataaaa Kitata.
 
Kasiee,

Utu ni thamani,
Mtu akija na dau hilo, Mwambie mie nakutunuku buree,

Mbona nye.ge zake zitakataa

Asante kwa kuniongezea mbinu za kivita sweet Mangi, halafu nimekumisiiii..... sijui nikuone wapi hamu yangu iishe....
 
Hahahahah
Nipo Mnyamwezi wangu,

Nimejaa telee!!

Yaaalaaah, chemba nne za Kasie ziko tupu ukizijaza hizo itakuwa bonge ya burudisho kwangu..... yaani mibubujiko itayokuwa inaenda juu na kushuka chini inasikika... Sweet Mangi, Sweet Mangi, Sweet Mangi, Sweet Mangi hehehhhheeeee
 
Hahahahahaha
Lol!!
Yaaalaaah, chemba nne za Kasie ziko tupu ukizijaza hizo itakuwa bonge ya burudisho kwangu..... yaani mibubujiko itayokuwa inaenda juu na kushuka chini inasikika... Sweet Mangi, Sweet Mangi, Sweet Mangi, Sweet Mangi hehehhhheeeee
 
Back
Top Bottom