Swali kwa dada zangu wa JF

Swali kwa dada zangu wa JF

Tena wanaume wenyewe wa siku hizi hawa...tako mbil tu chali najichukulia pay yangu kiulain tu
Siwezi kutoa hela yangu halafu nipige show ya kitoto, nitahakikisha mtu anakimbia na chupi mkononi, au anaisahau kabisa. Nikiona dalili ya kuchemka natafuta hata vumbi la mkongoman nalipiga kwanza.
 
Kwako mrembo /dada wa jf fikiria anatokea mwanaume out of blue, anakwambia "Chukua hii shillingi millioni mbili za kitanzania halafu tufanye mapenzi.

Utachukua uamuzi gani


********************************


Ladies, a random guy walks up to you and says "Take this 2 millions and have sex with me"

Whats your reaction?
I hate selling my dignity..
 
Tena wanaume wenyewe wa siku hizi hawa...tako mbil tu chali najichukulia pay yangu kiulain tu
Bora wewe umesema ukweli. Kuliko Hawa wanaojishebedua kuwa 2 milions Ni kidogo .

Tena kabla hajaingiza unahakikisha umemfanyia madoido kweli kweli akiweka na kupata ile joto faster anatapika. 2 milions ushatia mfukoni
 
Lile wazo tu kuwa wanawake wamegeuza kiungo cha uzazi kuwa cha biashara, kiasi cha kuwa kifaa cha uwekezaji....it makes men sick.
 
Acha uongo hakuna mwanamke anayekataa pesa,nina ushahidi wa kutosha kuhusu neno pesa kwa jinsia ya kike
Nitakataa, hakuna cha bure kiasi hicho aisee. Alafu million 2 ni pesa ndogo sana kujirisk namna hiyo.
 
Back
Top Bottom