luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,789
Aisee kumbe kuna wanaume wanapenda wanawake weusi, duh tumepata mteteziNatafta rafiki wa kike, awe mweusi, mrefu, mwembamba na natural hair. Aliyepo Dodoma atapewa kipaombele.
Aisee kumbe kuna wanaume wanapenda wanawake weusi, duh tumepata mteteziNatafta rafiki wa kike, awe mweusi, mrefu, mwembamba na natural hair. Aliyepo Dodoma atapewa kipaombele.
Usicheke naanza kuchangamkia pm maana wengine hata sijibu sasa hizo ukute ndo napishana na gari la mshahara,Hahahaha
Usicheke naanza kuchangamkia pm maana wengine hata sijibu sasa hizo ukute ndo napishana na gari la mshahara,
Ila tatizo la humu wengi watoto si ajabu kukutana na wanaolala kwa shemeji seblen.
Ila najua atakayekuja kukuchumbia wewe inabidi hiyo pesa azidishe mara mbili yake.Kweli 2M mahari kabisa hiyo
Mpaka marafiki wana vigezo vya muonekano?
Mimi si nilikwambia tuonane, ukaanza kuvunga.Kumbe watu Jf mnajuana face to face? Kumbe naogopa bure wanaokuja pm ukute Jf ina watu wema tunapoteza bahati
![]()
Mkuu unamaanisha jamaa wote waliojaribu ku graduate toka urafiki to wapenzi walikuwa na makoloni yao ?Wapo wema si wajua hawawezi kuwa wabaya wote? Na anaweza kuwa mwema kwako na akawa mbaya kwa mwingine. Kwa niliokutana nao humh ni mmoja tu nimejuta ila wengine naenjoy kwa kweli kujuana nao. Na ukitaka uone wema wao zaidi usikubali mitongozo yao. Kutongozana ndo mwanzo wa kuonana wabaya kwa sababu wanaotongoza 90% wana watu wao ila wanataka tu kukuvuruga. Sasa mtu akutongoze umpende then boom unajua ana gf/mke lazima umuone mbaya.
Mkuu unamaanisha jamaa wote waliojaribu ku graduate toka urafiki to wapenzi walikuwa na makoloni yao ?
Akiwa bahili dawa yake. Unaiba ATM card yake.
Yaani hao wote waliokutongoza walikuwa na wapenzi wakat huo huo wanakutaka na wewe ?Sijaelewa
Yaani hao wote waliokutongoza walikuwa na wapenzi wakat huo huo wanakutaka na wewe ?
Wewe hujakuwa under 30 boys kwanza kuwa mkubwaMimi si nilikwambia tuonane, ukaanza kuvunga.
Just tell me time n place. Watu wema still exist dear hapa jf.
Usicheke naanza kuchangamkia pm maana wengine hata sijibu sasa hizo ukute ndo napishana na gari la mshahara,
Ila tatizo la humu wengi watoto si ajabu kukutana na wanaolala kwa shemeji seblen.
Bora hata ungenitafuta mimi wakati huo kuliko kuingizwa mkenge na huyo tapeli wa mapenzi.Sasa wanakosaje kwa mfano. Mmoja ndo nilijua ana mbebe halafu nishamuelewa. Wakati alikua ananiambia ako single kumbe tapeli.
Sisi under 30s ndio watamu kama hujui. Halafu tuna nguvu za kutosha.Wewe hujakuwa under 30 boys kwanza kuwa mkubwa
Mkuu una miaka mingapi ?Usicheke naanza kuchangamkia pm maana wengine hata sijibu sasa hizo ukute ndo napishana na gari la mshahara,
Ila tatizo la humu wengi watoto si ajabu kukutana na wanaolala kwa shemeji seblen.