Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
- Thread starter
- #201
Million 2 sio pesa ya mchezo muraaaaKwa akili yako una fikili kila mwanamke ukiweka pesa ana tamanii million 2 umeona pesa nyingi labla kwa wasio jua kutafuta pesa.
Million 2 sio pesa ya mchezo muraaaaKwa akili yako una fikili kila mwanamke ukiweka pesa ana tamanii million 2 umeona pesa nyingi labla kwa wasio jua kutafuta pesa.
Utatoa huduma kwa mkopo ?Kabla hatujafika kwenye vipimo namrudishia pesa zake
Jirani
ebu mthibitishie.
mbona bure unafanya?Nitakataa, hakuna cha bure kiasi hicho aisee. Alafu million 2 ni pesa ndogo sana kujirisk namna hiyo.
niko nawaza!Hongera sana dadaangu!
weeee ndugo kwako mbona wenzako hata 1000 anatoa ? alafu wengi huko makwetu na makwenuSasa hayo mapenzi au biashara? Umeona 2m nyingi, wenzako wanahonga majumba. Doroo.
toa jibu sasaaaa ushawazaniko nawaza!
bora bure au bora ilipiwe?
Money can't buy your dignity.Unataka nithibitishe vipi jirani
HahhhhahahhAHAHAHHAHAHAHA kwa jinsi inavyoliwa bure bora upate ya kushushia Zanana Juice!
Naghairi kabisa..Utatoa huduma kwa mkopo ?
Bora upate kifuta jasho.niko nawaza!
bora bure au bora ilipiwe?
kabisa kabisa!Bora upate kifuta jasho.
nishasema bora ipatikane ya Zanana Juice!toa jibu sasaaaa ushawaza
You just have to believe me, there is no way I can prove that to youMoney can't buy your dignity.
Hiyo ndio akili.kabisa kabisa!
MANA ukiangalia unazotoa, mpk uber inakuhusu!
sasa si bora upate MAFAO bila kikokotoo!
haina kanuni wala sheria hiyo za PPF sijui SRR wat sijui!
Millioni 2mkuu hivi umewatajia tsh 20000 au tsh 2000000?
sijaona wa kukataa tsh 2000000 kwa sasa si tu ndani ya jf hata nje ya jf tena watataka kuolewa kabisaaa kwa hiyo milioni 2....yani siku hizi kahaba tu unamshusha bei hadi 1200 we unajilia tu
Anayekuwa amempa cha bure mwenzie hapo ni nani?? Dadavua tafwazaliNitakataa, hakuna cha bure kiasi hicho aisee. Alafu million 2 ni pesa ndogo sana kujirisk namna hiyo.