Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.
Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....
Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..
Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)
Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....
Wewe unajua kubembeleza?? Na wanaume wa kichaga wanajua kubenbeleza??? Usilaumu upande mmoja. Wachaga tiririkeni hapa mhitetee.