King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Toka hapa!
Mnajishauaga mbele za watu na kujidai kukoroma.
Wewe cacico akikubamba na msg za Da Sophy, hutoi mchozi ww? Najua utasingizia ni utani tu wa jeiefu ila utabembeleza na kuomba msamaha hadi aingie line.
Mnajishauaga mbele za watu na kujidai kukoroma.
Wewe cacico akikubamba na msg za Da Sophy, hutoi mchozi ww? Najua utasingizia ni utani tu wa jeiefu ila utabembeleza na kuomba msamaha hadi aingie line.
Kama nimeshawahi mpigia goti mwanamke yoyote ukimwondoa mama yangu mzazi, Mungu na anibadilishe jinsia.
Last edited by a moderator: