SWALI KWA BOYS wa kichagga

SWALI KWA BOYS wa kichagga

Toka hapa!
Mnajishauaga mbele za watu na kujidai kukoroma.
Wewe cacico akikubamba na msg za Da Sophy, hutoi mchozi ww? Najua utasingizia ni utani tu wa jeiefu ila utabembeleza na kuomba msamaha hadi aingie line.
Kama nimeshawahi mpigia goti mwanamke yoyote ukimwondoa mama yangu mzazi, Mungu na anibadilishe jinsia.
 
Last edited by a moderator:
Toka hapa!
Mnajishauaga mbele za watu na kujidai kukoroma.
Wewe cacico akikubamba na msg za Da Sophy, hutoi mchozi ww? Najua utasingizia ni utani tu wa jeiefu ila utabembeleza na kuomba msamaha hadi aingie line.

Nasisitiza tena, haitokaa nikampigia goti mwanamke. Iwe ni kuomba msamaha au sijui kupropozi. Nitapiga goti kama italazimika kwa kunusuru uhai wangu mbele ya silaha.

Goti nalipiga kwa hiari kanisani nikiomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu. Period.
 
Last edited by a moderator:
Nasisitiza tena, haitokaa nikampigia goti mwanamke. Iwe ni kuomba msamaha au sijui kupropozi. Nitapiga goti kama italazimika kwa kunusuru uhai wangu mbele ya silaha.

Goti nalipiga kwa hiari kanisani nikiomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu. Period.

Mbutaaaaaaa!!
 
Hivi leo ni holiday au la? Na swali la mwisho hii nayo ni thread-?
 
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.

Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....

Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..

Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)

Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....

Hahaaa, wewe najua kilichokukuta, but unayosema si kweli
 
Tofautisha holiday na mapumziko, hata mgonjwa anapewa mapumziko, haya jk ni mapumziko bcs we hv done lot in. Economy whether is sick or strong we need rest
 
Maskini hawapati usingizi kwa sababu wana njaa,lakini hata matajiri hawapati usingizi kwa sababu maskini wapo macho
 
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.

Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....

Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..

Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)

Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....




Hivi le, kitewe wandu wanuka waorye dharau kuryi nkyi? Kama huwajui wachaga huwezi kuwaelewa na kama hawajui mapenz acha kuwaoa au kuolewa nao...

Waacheni watafute pesa, msitusimange kila kona wachaga wachaga, lochoka lanyenyi
 
...mbona mnakuwa wagonjwa wa akili, sisi ni patrilineal society, so usitufundishe tamaduni za wazaramo ambao ni matrilineal, jiulize kwanza wewe mbona ubini wako ni wa baba yako na si mama yako kama una mapenzi, namaanisha vitu vingine ni tamaduni za watu, alafu ukiona issue kama hiyo watu wamepiga mpaka picha ujue siyo kawaida. Kwan baba yako ndo huwa anafanya hivyo kwa mama yako? Kuwa mkweli
 
Toka hapa!
Mnajishauaga mbele za watu na kujidai kukoroma.
Wewe cacico akikubamba na msg za Da Sophy, hutoi mchozi ww? Najua utasingizia ni utani tu wa jeiefu ila utabembeleza na kuomba msamaha hadi aingie line.
mmbea huyu mwanaume sijapata kuona......., anaipigiaga magoti everuday, hata usimsikilize, hayo ni maneno tu jamvini.
 
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.

Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....

Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..

Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)

Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....

hapo sasa umefunguka kiukweli. Lakini wajaga wanapaswa kujirekebisha, wajifunze kutoka tribes nyingine jinsi wanavyo practice
 
Back
Top Bottom