SWALI KWA BOYS wa kichagga

SWALI KWA BOYS wa kichagga

Oode mbe/saa/maa. Tiia otondo maoomi! Nitapiga magoti wakati wa kusali tu! Hata Mahakama haisemi umwombe mtu msahama kwa kumpigia magoti.
 
Oode mbe/saa/maa. Tiia utondo arawa!! Nitapiga magoti wakati wa kusali tu! Hata Mahakama haisemi umwombe mtu msahama kwa kumpigia magoti.
 
uNAJUA MAPENZI BANA KAMA UMEFANYA KOSA KUBWA KAMA UMEMSALITI MKEO AU UMEMTAFUNA H/GIRL LAZIMA UWE MPOLE TU HATA MIGUU YAKE UTALAMBA SEMBUSE MAGOTI KULA NA KIPOFU.TUMIKIA KAFIRI UPATE WAKO MRADI
 
magoti naweza mpigia afande anipiguzie cha juu mzigo wangu uweze kuvuka namanga, lakn sio chk!
bora ni mpigie got mteja anunuwe kongoro.
 
Kwa mchaga utakesha.apige magoti!!!! Atafanya chochote kukuonyesha kuomba msamaha ila sio magoti
 
Ndo maana inabidi katiba ibadilishwe, Raisi kapewa mamlaka makubwa mno ya kuteua teua watendaji! Hapa Mkandala/uongozi wa chuo unalinda tu vitumbua vyao! Yaani sasa kila mtendaji anakuwa mwana siasa kwa vile nafasi kateuliwa?? Inaboa sana!

Da kulakaba makoti kama kulantura nkaa.mumanya enyi wasacha wako.ila kindo kya tubu kifanyia kokaba makotie!!
 
Kweli nimeamini Wachaga tunaendesha Tanzania maana haipiti wiki bila kuona post juu yetu humu.

Mkiona mnajadiliwa sio kwamba mko vizuri ni mapungufu pia.nimeoa uchagani,marangu kilema kyo na ndugu zangu hawa ninawajua vizuri sana.ktk utafutaji wa pesa hicho ni kipajia asilia kwani tamaduni zenu zimewafunza hivyo.ktk hili kabila nyingine zijifunze toka kwenu.
Ktk mahusiano hapa tatizo mnalo tena kubwa sana.huko niliko oa wanajuta kwa nini waliolewa uchagani kwa sababu bado wanaume waule mfumo dume wa kishenzi kabisa.huwezi kukuna mume anaongea kwa upole,unyenyekevu,kujali mke,usikivu na n.k ubabe ubabe.na kwa taarifa yako ndoa za mchaga kwa mchaga hazina amani chunguza na utasema ndio!kwa wanawake mapenzi yaaan sijui nisemeje lo!.....kiufupi wanawake wa kichaga wako baridi saaaana.ukioa hulo lazima utafute mechi za ugenini kwa sana.
 
Chaga wote hawajui mapenzi na hata kutongoza hawajui wanapenda Mtelezo tu!!!!
 
Mkiona mnajadiliwa sio kwamba mko vizuri ni mapungufu pia.nimeoa uchagani,marangu kilema kyo na ndugu zangu hawa ninawajua vizuri sana.ktk utafutaji wa pesa hicho ni kipajia asilia kwani tamaduni zenu zimewafunza hivyo.ktk hili kabila nyingine zijifunze toka kwenu.
Ktk mahusiano hapa tatizo mnalo tena kubwa sana.huko niliko oa wanajuta kwa nini waliolewa uchagani kwa sababu bado wanaume waule mfumo dume wa kishenzi kabisa.huwezi kukuna mume anaongea kwa upole,unyenyekevu,kujali mke,usikivu na n.k ubabe ubabe.na kwa taarifa yako ndoa za mchaga kwa mchaga hazina amani chunguza na utasema ndio!kwa wanawake mapenzi yaaan sijui nisemeje lo!.....kiufupi wanawake wa kichaga wako baridi saaaana.ukioa hulo lazima utafute mechi za ugenini kwa sana.

Wewe hukufundwa,na hukuowa bali umeolewa kwa kiherehere cha pesa zako ndo maana unaanika mapungufu ya mkeo hapa

Mimi nimeowa na wachaga ni shemeji zangu dada zao nawajua ni wakarimu,wanaheshimu ndoa, sio wezi wa mapenzi, wavivu kidogo sio wasanii kivile,wakinogewa wanamwita...mama, au Yesu ,kule kwetu wadada wakinogewa huita mtumee au Yaalah nk sijui kama hizi zote ni sanaa au wizi.

Nakupa pole Mme mwenzangu we naona katika tenga lenye nazi nyingi ulichagua koroma.
 
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.

Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....

Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..

Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)

Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....

Wewe nahisi unatoka Mara................... kwani huko kipigo ndo bembeleza yenu!
 
Kilimanjaro inashikilia nafasi ya tatu Tanzania kwa kutoa first Lady msipadharau anapotulizia akili mkuu wa nchi
 
Back
Top Bottom