hapo sasa umefunguka kiukweli. Lakini wajaga wanapaswa kujirekebisha, wajifunze kutoka tribes nyingine jinsi wanavyo practice
hapo sasa umefunguka kiukweli. Lakini wajaga wanapaswa kujirekebisha, wajifunze kutoka tribes nyingine jinsi wanavyo practice
Tujifunze ili nini? Mmeambiwa tuna shida? Mtuwache miaka mia tupumue. Kama mnaona hatuwezi au hatufai si mtupotezee? Yanini kila siku kutujadili? Sie hatuna tabu, tutaoana wenyewe kwa wenyewe.
Proud to be a CHAGGA.
Loi kabisaKindo besa,vafele vo baadae!
Hizi ni chuki binafsi kabisaa!Wachagaa wapo juu mie mwenyewe natamani kuolewa nao
Hizi ni chuki binafsi kabisaa!Wachagaa wapo juu mie mwenyewe natamani kuolewa nao
Wachaga ni JANGA jamani,khaa..!! Yani hawa hawana cha sijui natokea Umbwe,marangu wala Rombo.
Tena akisema ni wa KIBOSHO,ama MACHAME ndo uuwiiii....
Sijui wameumbwaje hawa? Mwanzo utasema,mwanamke si huyu? Oa sasa na mzae japo mtoto mmoja tuu,mama yangu,balaa..
Jamani Wachaga hawajui MAPENZI...utampenda kwa kila njia,lakini hawapendekiii...(mapenzi sio kitandani tu jamani,ku do kunadhihirisha kuwa kweli mnapendana)
Hawana NYAMA YA ULIMI kabisaaa...Hawajui kubembeleza wala wao wenyewe hawabembelezeki..ni MAJANGA wachaga jamani,uuwiiii....
Mchaga pesa mapenzi usumbufu!
hapo sasa umefunguka kiukweli. Lakini wajaga wanapaswa kujirekebisha, wajifunze kutoka tribes nyingine jinsi wanavyo practice
Com dis wei umenene bidada., kila tribe lina tamaduni zke ukiona m2 haendani n tamaduni zko oa kabila zko ngoma iwe droo
Wanaume w kichaga tupo poa 2 kimapenz 2014 vibali vya bastola vimefutwa muwe n amani wadada mukuje kwetu