Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Kuabudu ni uhuru wa mtu kama hutaki kuangalia wengine wakiabudu kupitia TBC wewe zima TV yako au badili channel.
Huo uwezo wetu wa kuvumilia na kuchukuliana kama tulivyo ndio umetuwezesha kufikisha miaka 60 ya uhuru msidhani ni jambo jepesi tu kama kwenda chooni asubuhi baada ya kuamka.
Nchi yetu haina dini ila kila mtu anayo dini yake na anao wajibu wa kuheshimu dini ya mwenzake.
Huo uwezo wetu wa kuvumilia na kuchukuliana kama tulivyo ndio umetuwezesha kufikisha miaka 60 ya uhuru msidhani ni jambo jepesi tu kama kwenda chooni asubuhi baada ya kuamka.
Nchi yetu haina dini ila kila mtu anayo dini yake na anao wajibu wa kuheshimu dini ya mwenzake.