Jeshi haina , sijui Polisi ....Namaanisha yaani serikali ya Palestina yenyewe haimiliki jeshi wala polisi ama ni ile nchi inaendeshwaje yaani nchi nzima ya Palestina ni kweli haina jeshi wala polisi ama kikosi maalumu cha makomandoo?
Na kama lipo je kazi ya ilo jeshi ni nini mbona polisi ama jeshi la Palestina lenyewe halijitokezi kuwatetea wananchi ama raia wake hasa kipindi hiki wanaposhambuliwa na Israel?
Mwenye majibu sahihi karibu.
Unajaribu kumaanisha nini?
[emoji769]View attachment 1786704
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23] watu ni wadadisiKuna baadhi ya matukio huwa ni ya ajabu sana kwa Standard zetu za huku Afrika na haswa ya Mashariki
Kuna kitu kinaitwa "Biashara ya Shahawa ya Wapalestina" ambayo inakuwa hivi, famila zenze Wasichana walio katika umri wa kuolewa huwa wanaozwa wale jamaa walioko Jela yaani wale waliofungwa vifungo vya virefu au vya Maisha kwenye Majela ya Israel.
Sasa wale Vijana walioko Jela hutoa Shahawa zao kwa njia ya Magendo kuzipeleka kwa Wake zao huko Uraiani
Wanawake wa Kipalestina wanabeba Mimba ilihali wako Singo[emoji16]
Upo hapo?
To make this clear ni vyema kusema Palestine haitambuliki kama taifa na BAADHI ya mataifa, same kama ilivyo Israel, Sahrawi, Somaliland, Hong Kong na Puerto Rico and MAYBE Zanzibar BAADHI ya mataifa huzitambua na kwa BAADHI hazitambuliki.Jeshi lao ni HAMAS lkn kwa vile Palestina sio nchi, wanaitwa magaidi. Cha kushangaza rais wao Mahmoud Abbas anatambulika.
Ni kama vile sehemu ya jamuhuri katika nchi moja ya mataifa ya afrika masharikiJeshi lao ni HAMAS lkn kwa vile Palestina sio nchi, wanaitwa magaidi. Cha kushangaza rais wao Mahmoud Abbas anatambulika.
Gaza watu wanafanyia biashara tu kila kitu ni Cha kulipia kuanzia soko na kila kitu , vitu vinajiendesha kwa kusua sua kwakuwa MDA mwingi wapo kwenye mapgano, serikali inashindwa kukusanya Kodi hata wew Google uone jinsi palivo , Palestine imeanguka Sana, pia hii netanyahu anatafuta political sympathy kweny uchaguz ujao , na yeye ndo kaanza kuwachokoza palestina na anaweza kuwapga, that's why hutaskia mkaz wa Gaza akiilaumu Hamas hata Kama wanaopgana nyuma ya raia, Ila wakaz wa Israel wanamlaumu netanyahu kwasabab wao pia hawana aman na walishaanza maisha mapya na waparestina ,Mkuu asante sana kwa ufafanuzi... je hapo Gaza kuna utawala wa sheria? Je wahalifu wanashughulikiwa vipi!? Nani anakusanya kodi na kutoa huduma za kijamii!?
Eeee sio wale waisrael ya ibrahimu usaka na yakoboHawa wa kuitwa waisrael si wazungu wa kirusi hawa mixer waingereza?
Hawa jamaa walishindwa kuish east Africa sabab ya joto na maradh , hoja hii ilizuiliwa mwaka 1903 na 1905 iliundwa Jews territoriost organization ambayo ilikubali kukaa ardhi yoyote ile watakayo pewa hapa duniani , baada ya Vita vya pili vya dunia walipelekwa palestina mawazo yakiwa ni kuichukua ile ardhi tokea miaka hyo , ko hata Kama Palestine wakikaa kimya lazma wachokozwe iliwapigwe na sababu ya kuwapora ardhi iwepo , ...so hata wakikaa kimya lazma wapigwe sabab ipatkane wafukuzwe, Ila nawashangaa wanaoshabikia kuw Israel karud kwao , bas na ss tuwafukuzie wangoni south na wabantu warud afrika ya katMkuu asante sana kwa ufafanuzi... je hapo Gaza kuna utawala wa sheria? Je wahalifu wanashughulikiwa vipi!? Nani anakusanya kodi na kutoa huduma za kijamii!?
Kumbe![emoji848]si kuwa najuaPalestina haitambuliki kama nchi, kwahiyo Jeshi lao halitambuliki kama jeshi halali bali huitwa kundi la wapiganaji ( wanamgambo wa Hamas )
Unamaanisha nini??Ngoja WALOKOLE wa KINYAKYUSA waje
GoodHawa jamaa walishindwa kuish east Africa sabab ya joto na maradh , hoja hii ilizuiliwa mwaka 1903 na 1905 iliundwa Jews territoriost organization ambayo ilikubali kukaa ardhi yoyote ile watakayo pewa hapa duniani , baada ya Vita vya pili vya dunia walipelekwa palestina mawazo yakiwa ni kuichukua ile ardhi tokea miaka hyo , ko hata Kama Palestine wakikaa kimya lazma wachokozwe iliwapigwe na sababu ya kuwapora ardhi iwepo , ...so hata wakikaa kimya lazma wapigwe sabab ipatkane wafukuzwe, Ila nawashangaa wanaoshabikia kuw Israel karud kwao , bas na ss tuwafukuzie wangoni south na wabantu warud afrika ya kat
Kwahiyo wanatumia pesa hipi kupata mahitaji kama hawana serikali?Jeshi lao ni HAMAS lkn kwa vile Palestina sio nchi, wanaitwa magaidi. Cha kushangaza rais wao Mahmoud Abbas anatambulika.
Hebu tusaiidie, ardhi halali/halisi ya Israel ni ipi?Hawa jamaa walishindwa kuish east Africa sabab ya joto na maradh , hoja hii ilizuiliwa mwaka 1903 na 1905 iliundwa Jews territoriost organization ambayo ilikubali kukaa ardhi yoyote ile watakayo pewa hapa duniani , baada ya Vita vya pili vya dunia walipelekwa palestina mawazo yakiwa ni kuichukua ile ardhi tokea miaka hyo , ko hata Kama Palestine wakikaa kimya lazma wachokozwe iliwapigwe na sababu ya kuwapora ardhi iwepo , ...so hata wakikaa kimya lazma wapigwe sabab ipatkane wafukuzwe, Ila nawashangaa wanaoshabikia kuw Israel karud kwao , bas na ss tuwafukuzie wangoni south na wabantu warud afrika ya kat
Hawana ardhi wale ni wakimbizi wa vita vya kwanza vya dunia nadhani,ndipo waingereza walipowakusanya na kuwahifadhi kwenye ardhi ya parestinaHebu tusaiidie, ardhi halali/halisi ya Israel ni ipi?
Waje waseme " ailaanie Israel na alaaniwe" ...kwa dini ya kiislam israel ni mtume yacoub ,,nyie ndio Jacob,,,, kwahyo ataemlaan Jacob nae atalaaniwa hapo tunakubali, Ila sio Hawa wachafua Aman ...wanajiita waisrael kwakuwa ni kizaz Cha Jacob, lakn Hawa kina netanyahu ni waingereza warusi na wafaransa tu , waisrael halis waliokuwepo pale na waliishi na waarabu hata kabla ya 1919Unamaanisha nini??
Wanatakiwa wakachangamane na wenzao middle East , na sio kuwafukuza Kama wafanyavo waoHebu tusaiidie, ardhi halali/halisi ya Israel ni ipi?
Duu kwa nn tenaJeshi ka Israel linajitahidi kwa kila namna HAMAS wasifikiwe na silaha nzito za maangamizi.
Apa unesema kweliWaje waseme " ailaanie Israel na alaaniwe" ...kwa dini ya kiislam israel ni mtume yacoub ,,nyie ndio Jacob,,,, kwahyo ataemlaan Jacob nae atalaaniwa hapo tunakubali, Ila sio Hawa wachafua Aman ...wanajiita waisrael kwakuwa ni kizaz Cha Jacob, lakn Hawa kina netanyahu ni waingereza warusi na wafaransa tu , waisrael halis waliokuwepo pale na waliishi na waarabu hata kabla ya 1919
Wanatakiwa wakachangamane na wenzao middle East , na sio kuwafukuza Kama wafanyavo wao