Swali: Je Palestina haina jeshi wala polisi?

Swali: Je Palestina haina jeshi wala polisi?

Mtoa mada tafuta Tv Series inaitwa FAUDA angalau unaweza pata mwanga juu ya kinachoendelea huko middle east.
Nzuri sana hii series. Doron ni shida!
Nawaza tu ili dunia iwe na uwiano ifanyike purge. Nahis watu wamezid uwezo wa rasilimali za dunia
 
Sasa kama Hamasi ndo jeshi lao kwanini miaka nenda miaka rudi ilo jeshi la Hamasi haliadvance kivifaa vya kivita na kukiza ukubwa wa jeshi kwanini wao kila siku mbinu zao ni zile zile hazieongezeki ina maana serikali haitoi budget kwa jeshi lake

Na pia vip kuhusu polisi ya palestina mbona yenyewe haijitokezi kuwatetea wananchi wake
Mkuu hao parestina hawawezi kumpiga mu Israel hata wafanyaje, tena sio wao tu, hata waungane na iran, misri, Lebanon, siria na Iraq, washajaribu wakashindwa. Sasa wewe unataka hamas peke yao washindane na jeshi la Israel wataweza vipi?
 
Back
Top Bottom