CURIOSITY_200
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 320
- 260
Kwa sasa nchi hii mtu aliyebaki kuaminika ni Tundu Lissu, ndo pekee amekuwa consistent tangu nyie mnasainiana mikataba, let's start preparing him for Tz presidency come 2020Ni nani unayemwamini? Wawekezaji wanaosema "hatukudanganya" au Serikali inayosema "Wamedanganya" na kwanini? Yule usiye mwamini ungependa afanye nini ili umuamini kuwa anachosema ni kweli?
Unaweza kupiga kura hapo juu lakini hapa chini unaweza ukadadavua sababu zako ili tuzidi kubadilishana mawazo na mitazamano na kushawishiana kwa hoja na si vihoja.