Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
Hoja nzuri hiiACACIA hawawezi kuaminika
Walianza na kukwepa kodi kwa kutoa taarifa ya uongo TRA,wakajisahau wakapeleka taarifa sahihi London stock exchange ili kupata bei nzuri ya hisa.TRA wakapiga kodi kwa kutumia hesabu walizopeleka LSE.
Kama wanaweza kuwa na taarifa mbili za kodi utawaamini vipi watu kama hawa.
Kwa hili tunapaswa kuwa na Magufuli