Swali Gomvi: Ni nani Unayemwamini na Kwanini?

Kuhusu sakata la mchanga wenye madini; ni nani unayemwamini kuwa anasema kweli?


  • Total voters
    90
  • Poll closed .
ACACIA hawawezi kuaminika
Walianza na kukwepa kodi kwa kutoa taarifa ya uongo TRA,wakajisahau wakapeleka taarifa sahihi London stock exchange ili kupata bei nzuri ya hisa.TRA wakapiga kodi kwa kutumia hesabu walizopeleka LSE.
Kama wanaweza kuwa na taarifa mbili za kodi utawaamini vipi watu kama hawa.
Kwa hili tunapaswa kuwa na Magufuli
Hoja nzuri hii
 
Kutokuwepo kwa independence ya kamati imepunguza credibility ya ripoti yao. Mh Rais tayari alikuwa na conclusion yake kuhusu huo mchanga na aliweka wazi. Je kamati ilikuwa na uthubutu wa kiasi gani kutoa matokeo ambayo yangeonesha Mh Rais alisema/alituhumu vya uongo?

Hata hivyo kuwepo au kutokuwepo kwa independence ya kamati peke yake hakuondoi ukweli (kama ni kweli) wa findings zao. Kinachoathirika ni kiwango gani ukweli huo utaaminiwa na watu wengine wenye maslahi na jambo hilo?

Wengine tumeshauri serikali inunue kwa thamani ambayo acacia wanaiamini au kupiga mnada mchanga huo ili kupata thamani halisi.

Wengine wanasema hoja hiyo hiyo inahusu Acacia; si wao ndio wametangaza mwanzoni - independently - na upungufu uliooneshwa na kina Mruma. Kwanini tuwaamini wao au tuamini kuwa wao wako huru sana kutuambia ukweli? Nachokoza tu.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
..suluhisho ni serikali kuchukua jukumu la kusafirisha, kutafuta smelter ya kuchambua mchanga, na baadaye kuuza kilichomo ktk mchanga huo. Baada ya hapo wawakatie acacia kiasi chao, na sisi tusepe na kilicho chetu.

..halafu naona tumebeba bango kuhusu mchanga. Je dhahabu inayochimbwa tumejiridhisha kwamba hawatupunji?

Cc Nguruvi3

Pendekezo zuri hilo
 
1495896914819.jpg
 
Nawaamini Acacia kwasababu CCM wana PhD ya uongo na unafiki.
Acacia kwa kauli yako WAKOBKWA MASLAHI YA TAIFA NA SI BIASHARA i.e unasema wananufaisha taifa na si kupata maxim profit. Its a questionable thinking
 
Mimi mwanakijiji ameuliza swali LA msingi ambalo sote tuna kazi ya kutoa majibu yatakoyoisaidia serikali kukata mzizi Wa fitina na hatimaye kuondoa utata unagubika ripoti ya Mchanga.

Vipi tukienda na ushauri/maoni ya Emmanuel J. Mbuyamba? Au wewe una maoni gani?
Karibu
‪+255 756 997 052‬ 20170528_103052.jpg
 
Mimi mwanakijiji ameuliza swali LA msingi ambalo site tuna kazi ya kutoa majibu yatakoyoisaidia serikali kukata mziziz Wa fitina na hatimaye kuondoa utata unagubika ripoti ya Mchanga.

Vipi tukienda na ushauri/maoni ya Emmanuel J. Mbuyamba? Au wewe una maoni gani?
KaribuView attachment 515566
Tayari hii hoja ilishaletwa humu jukwaani mkuu..
 

Hakuna shaka kwa hapa tulipofikia Lazima kuiamini serekali KIKAMILIFU!


Hao ACACIA sio wakuamini kabisa anyway kwanini wasijitetee ..! Kwa uharamia wa wazi kabisa wanaofanya.

Watanzania lazima kuwa wamoja na kushikana kwenye hii vita sio vita ndogo. Inabidi kuweka tofauti zetu zote kando na kuja pamoja kwenye hili kama Taifa.
Daima mwenye ukweli si mwepesi kuongea lakn anaefaham mambo juu juu hwa wakwanza kupaza sauti
 
kwa hesabu zile za tume ukija changanya na kilichoko kwenye mkataba nafikiria kwenda kulazwa Milembe, hivi kwanini hatujiulizi kwanini chenge na werema wanaruka kimanga kwenye issue hii?
 
Accasia sio mali ya mtu binafsi ,hivyo kufanya wizi wa namna hii na ukichukua accounting regime ya hizi multinationals zilizokuwa listed kwenye stock exchanges,it's near impossible
Mruma na wenzake wasinge kuja na chochote kinyume na alichotaka bw Mkubwa,SI waliona yaliyo mfika katibu mkuu wa wizara aliyethubutu kufikiria kinyume na Mkulu
 
Back
Top Bottom