jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Wakuu natumaini mnaendelea salama kabisa.
Kwa kweli kuna wanawake ukiwanao unaweza kumuua kabisa au ukamtelekeza moja kwa moja.
Yapata na wanawake kadha wa kadha ila naona kabisa hawa hawana akili isipo kuwa wahisia na sijui wanayachukuliaje maisha.
Unakuta mwanamke ni purukushani tuu na ukimpotezea ni lawama pasipo kuisha yani ni makelele haswa mpaka unasema sasa huyu ni kiumbe wa aina gani .
Hebu fikiria kabisa.
1: Mwanamke haombi hela , ukijiongeza ukampa anakujibu hovyo sana utasikia sasa na wewe vihela gani hivi , hapo hapo anajifanya hataki dushe ila ukimpiga dushe unaona anaenjoy ila katikati ya mchezo anakukata stimu ili akutangaze huna nguvu za kiume
2: Mwanamke usipo mpa hela ni lawama tuu na akiomba utasikia inamaana hujui mwanamke ni matunzo, hapo anakutajia mpaka wadogo zake na huko nyumbani kwao
3: Mwanamke anakutafuta anajua kabisa upo busy tena juu ya nguzo huko mvua inanyesha uko busy kukatia watu umeme ila gafla unakuta kakuandikia gazeti endelea na mwanamke wako mpya uliye mpata niache na maisha yangu
4: Mwanamke haeleweki kabisa ukimwambia hiki anafanya hichi, akikosea anataka umsahihishe ukisahihisha anaona unamfatilia sana anabaki kukujibu hovyo, ukimpotezea anakuona humpendi kabisa.
5: Mwanamke anajua kabisa unaumwa ,unamadeni na umeishiwa , ila yeye anatoka asubuhi lakini bado akitudi utasikia amka hapo kitandani unipe hela ya matumizi usiniektie unaumwa hapo anaona kabisa umetoka kuanguka juu ya nguzo ukikata umeme
6: Mwanamke anajua kabisa hawa ni wadogo zako ila anainama inama mbele zao huku kajifunga kikanga kimebana haswa
7: Unakuta mwanamke hataki kukutafuta anataka umtafute na ukimtafuta anaona unamsumbua
8: Unakuta mwanamke wako kabisa unadhurura nae mjini ila ukimwacha step tuu kupiga story na masela gafla unamuona kule kabananishwa na namba anatoa . Ukimuuliza anakujibu acha wivu
9: Mwanamke akili zake kwenye maendeleo ya mwanaume zipo wapi. Huna hela anakushauri uza funiture baadhi za ndani au kakipande kaardhi ulicho nunua kwa jasho
10: Unakuta mwanamke anabena mimba anakusukumizia ni yako, ila akizaa mtoto anakuwa wake hataki hata kusikia. Ukiamua umuachie mtoto ndiyo hivyo ana choma mtoto moto aliye mbeba miezi tisa tumboni na kumzaa kwa uchungu akidai mwanaume kamtelekeza .
Je, ndugu zangu mwanamke ni nani je, dawa yao ni ipi tofauti na kuwatanguliza huko kwenda kutuandalia makao na kwanini wanatuzunguka katika mazingira yetu
Kwa kweli kuna wanawake ukiwanao unaweza kumuua kabisa au ukamtelekeza moja kwa moja.
Yapata na wanawake kadha wa kadha ila naona kabisa hawa hawana akili isipo kuwa wahisia na sijui wanayachukuliaje maisha.
Unakuta mwanamke ni purukushani tuu na ukimpotezea ni lawama pasipo kuisha yani ni makelele haswa mpaka unasema sasa huyu ni kiumbe wa aina gani .
Hebu fikiria kabisa.
1: Mwanamke haombi hela , ukijiongeza ukampa anakujibu hovyo sana utasikia sasa na wewe vihela gani hivi , hapo hapo anajifanya hataki dushe ila ukimpiga dushe unaona anaenjoy ila katikati ya mchezo anakukata stimu ili akutangaze huna nguvu za kiume
2: Mwanamke usipo mpa hela ni lawama tuu na akiomba utasikia inamaana hujui mwanamke ni matunzo, hapo anakutajia mpaka wadogo zake na huko nyumbani kwao
3: Mwanamke anakutafuta anajua kabisa upo busy tena juu ya nguzo huko mvua inanyesha uko busy kukatia watu umeme ila gafla unakuta kakuandikia gazeti endelea na mwanamke wako mpya uliye mpata niache na maisha yangu
4: Mwanamke haeleweki kabisa ukimwambia hiki anafanya hichi, akikosea anataka umsahihishe ukisahihisha anaona unamfatilia sana anabaki kukujibu hovyo, ukimpotezea anakuona humpendi kabisa.
5: Mwanamke anajua kabisa unaumwa ,unamadeni na umeishiwa , ila yeye anatoka asubuhi lakini bado akitudi utasikia amka hapo kitandani unipe hela ya matumizi usiniektie unaumwa hapo anaona kabisa umetoka kuanguka juu ya nguzo ukikata umeme
6: Mwanamke anajua kabisa hawa ni wadogo zako ila anainama inama mbele zao huku kajifunga kikanga kimebana haswa
7: Unakuta mwanamke hataki kukutafuta anataka umtafute na ukimtafuta anaona unamsumbua
8: Unakuta mwanamke wako kabisa unadhurura nae mjini ila ukimwacha step tuu kupiga story na masela gafla unamuona kule kabananishwa na namba anatoa . Ukimuuliza anakujibu acha wivu
9: Mwanamke akili zake kwenye maendeleo ya mwanaume zipo wapi. Huna hela anakushauri uza funiture baadhi za ndani au kakipande kaardhi ulicho nunua kwa jasho
10: Unakuta mwanamke anabena mimba anakusukumizia ni yako, ila akizaa mtoto anakuwa wake hataki hata kusikia. Ukiamua umuachie mtoto ndiyo hivyo ana choma mtoto moto aliye mbeba miezi tisa tumboni na kumzaa kwa uchungu akidai mwanaume kamtelekeza .
Je, ndugu zangu mwanamke ni nani je, dawa yao ni ipi tofauti na kuwatanguliza huko kwenda kutuandalia makao na kwanini wanatuzunguka katika mazingira yetu