King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,637
Ulikuwa jela? Kila siku watu wanapiga makelele humu kwamba mama alete chanjo ,kila siku watu wanapiga makelele kwanini Mama havai Barakoa! Korona inaenda na wave, wave la pili limemuondoa JIWE na mapadri 33+ ,tusubiri wave ya tatu.Toka Magufuli afariki, wapinzani nao wamenyamaza kupiga kelele za uwepo wa corona - Tanzania.
Najiuliza je Magufuli ameondoka na corona yake?