CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Niliwahi kuleta Mara Mbili humu Janvini swala la watu kuunganisha Mitaji, hakuna aliye jari, watu wanataka kila mmoja aonekane kwamba anaweza, kila mtu anataka aonekane kwa Ndugu, jamaa, marafiki, majirani na kazalika kwamba ana biashara yake yeye pekee, hii ni hatari sana huko Tuendako,
Raisi Msatafu Mkapa aliwahi kuongelea hili swala katika Moja ya Hotuba zake, kwamba Watanzania bila kuunganisha Mitaji watabakia kulalamika kwamba wanatengwa na tenda na Miradi mikubwa wanapewa Wazungu, Ni kweli hata ukija kwenye swala la MIGODI pamoja na kwamba hawa GGM na wakina Barick ni wahuni lakini Ukweli ni kwamba Hizi Kampuni zina Mitaji Mikubwa kabisa na ni Makampuni makubwa kabisa hapa Dunini,
Mfano:
Kwa Arusha nimetonywa kwamba ile Kampuni kubwa kabisa ya Biashara za Kuku kenya wanataka kusimika Mitambo yao Arusha ili kuteka soko la Tanzania na tiyali wamenunua eneo la hekta 40, hii ni habari mbaya sana kwa watanzania, hawa wakenya wana Mitambo ya kutotoresha Vifaranga 500,000 kila wiki, na wanauza vifaranga, kuku na mayai katika bei ya chini kabisa,
Hii ni habari za kutisha kwa biashara zetu hapa Bongo, mimi binafisi napenda waje ili watuamushe, watanzania tunapenda sana Individuality
Hapa Bila watanzania Kuunganisha Mitaji, hakika tutafunga biashara nyingi sana, ni swala la Muda tu wakuu,
Hapa hata wakina Interchick wanaweza wasiweze kufurukuta, achulia mbali individual ambao kila mtu anafuga kuku wa mayai na nyama,
Bila kuunganisha Mitaji, hakika tutafunga biashara muda siu mrefu, naomba tusiandikie Mate tusubiri kujionea wenyewe
SWALA LA DALADALA ZA DAR
- Juzi nilisikia SUMATRA wanasitisha kutoa leseni kwa mmiliki mmoj mmoja, hii mimi nimeipenda sana, haiwezakani Dar iwe na watoa huduma za Usafiri zaidi ya elfu 10 wakati Mjaiji makubw akabisa Duniani yana watoa duma wasiozidi 10 tu
- Hapa napo ninauhakika zikipatikana kampuni mbili tu zenye mitaji ya uhakika, zile Costa, na Haice, zitabadilishwa kuwa za kubeba mizigo, na hii yote ni kwa sababu Watanzania hawataki kabisa kubadilika kuendana na DUNIA, haiwezekani kila mtu awe na Daladala yake,
SWALA LA MAKAMPUNI YA UJENZI
- Hawa nao mpka wanaombwa na Serikali waunganishe Makampuni yao hawataki, na kwa sasa Makampuni mengi ya Kibongo yanaishia kupata tenda za kutengeneza Barabara za Vijijiji na za Mitaa, HAKUNA KAMPUNI YA NDANI HATA MOJA INAWEZA SHINDANA NA KAMPUNI KAMA SOGEA SATOM, ya Ufaransa inayo jenga Barabara ya Arusha Minjingu, au Kuna Kampuni ya kushindana na STRABAG? jibu ni hakuna,
Ila kampuni za Kibongo zingeweza Kuunganisha Mitaji wangeweza hata kupambana na hizi Kampuni,
Raisi Msatafu Mkapa aliwahi kuongelea hili swala katika Moja ya Hotuba zake, kwamba Watanzania bila kuunganisha Mitaji watabakia kulalamika kwamba wanatengwa na tenda na Miradi mikubwa wanapewa Wazungu, Ni kweli hata ukija kwenye swala la MIGODI pamoja na kwamba hawa GGM na wakina Barick ni wahuni lakini Ukweli ni kwamba Hizi Kampuni zina Mitaji Mikubwa kabisa na ni Makampuni makubwa kabisa hapa Dunini,
Mfano:
Kwa Arusha nimetonywa kwamba ile Kampuni kubwa kabisa ya Biashara za Kuku kenya wanataka kusimika Mitambo yao Arusha ili kuteka soko la Tanzania na tiyali wamenunua eneo la hekta 40, hii ni habari mbaya sana kwa watanzania, hawa wakenya wana Mitambo ya kutotoresha Vifaranga 500,000 kila wiki, na wanauza vifaranga, kuku na mayai katika bei ya chini kabisa,
Hii ni habari za kutisha kwa biashara zetu hapa Bongo, mimi binafisi napenda waje ili watuamushe, watanzania tunapenda sana Individuality
Hapa Bila watanzania Kuunganisha Mitaji, hakika tutafunga biashara nyingi sana, ni swala la Muda tu wakuu,
Hapa hata wakina Interchick wanaweza wasiweze kufurukuta, achulia mbali individual ambao kila mtu anafuga kuku wa mayai na nyama,
Bila kuunganisha Mitaji, hakika tutafunga biashara muda siu mrefu, naomba tusiandikie Mate tusubiri kujionea wenyewe
SWALA LA DALADALA ZA DAR
- Juzi nilisikia SUMATRA wanasitisha kutoa leseni kwa mmiliki mmoj mmoja, hii mimi nimeipenda sana, haiwezakani Dar iwe na watoa huduma za Usafiri zaidi ya elfu 10 wakati Mjaiji makubw akabisa Duniani yana watoa duma wasiozidi 10 tu
- Hapa napo ninauhakika zikipatikana kampuni mbili tu zenye mitaji ya uhakika, zile Costa, na Haice, zitabadilishwa kuwa za kubeba mizigo, na hii yote ni kwa sababu Watanzania hawataki kabisa kubadilika kuendana na DUNIA, haiwezekani kila mtu awe na Daladala yake,
SWALA LA MAKAMPUNI YA UJENZI
- Hawa nao mpka wanaombwa na Serikali waunganishe Makampuni yao hawataki, na kwa sasa Makampuni mengi ya Kibongo yanaishia kupata tenda za kutengeneza Barabara za Vijijiji na za Mitaa, HAKUNA KAMPUNI YA NDANI HATA MOJA INAWEZA SHINDANA NA KAMPUNI KAMA SOGEA SATOM, ya Ufaransa inayo jenga Barabara ya Arusha Minjingu, au Kuna Kampuni ya kushindana na STRABAG? jibu ni hakuna,
Ila kampuni za Kibongo zingeweza Kuunganisha Mitaji wangeweza hata kupambana na hizi Kampuni,