waubani
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 542
- 210
sio kweli kwamba watanzania hawana elimu ya biashara.
Na sio kweli kuwa ni watanzania tuu ndio sio waaminifu.
Mkumbuke kwenye biashara kuna Partnership deed ina sura ya kisheria kuainisha na kulinda maslahi ya pande zote mili , na kama ni kampuni kuna Memorandom na bodi pia legally binded.Hakuna kudhulumiana hapo.
Tatizokubwa linatokea kama mmeungana kienyejienyeji, kirafikirafiki au kiunduguundugu bila kuhusisha mambo ya kisheria (gawiwo, liabilities, decision making, records keeping, asserts etc).
Tanzania kumejaa sana bureucrcy hasa kama ni mzawa unavisent vyako unataka kuanzisha kampuni Utakutana na vikwanzo vingi, majungu na kuombwa rushwa mpaka ukome.
Na sio kweli kuwa ni watanzania tuu ndio sio waaminifu.
Mkumbuke kwenye biashara kuna Partnership deed ina sura ya kisheria kuainisha na kulinda maslahi ya pande zote mili , na kama ni kampuni kuna Memorandom na bodi pia legally binded.Hakuna kudhulumiana hapo.
Tatizokubwa linatokea kama mmeungana kienyejienyeji, kirafikirafiki au kiunduguundugu bila kuhusisha mambo ya kisheria (gawiwo, liabilities, decision making, records keeping, asserts etc).
Tanzania kumejaa sana bureucrcy hasa kama ni mzawa unavisent vyako unataka kuanzisha kampuni Utakutana na vikwanzo vingi, majungu na kuombwa rushwa mpaka ukome.