Sio kama Watanzania hawapendi.
Ndugu yangu, kwa tanzania kuna vitu vitatu. Vinafanya hilo jambo kutowezekana
1) Uaminifu. Watanzania uaminifu ni zero. Mkiunganisha mtaji, unakuta mwenzako anazunguka nyuma, anataka faida zaidi.. Hii mimi imenitokea sana, na ndicho kikwako kikubwa hapa Tanzania.
Hatukulelewa kwenye uvumilivu na uaminifu. Kila mtu anajifanya much know na mjanja zaidi ya mwenzake.
2) Elimu. Bado Hatujui kuendesha shughuli as joint venture. As a result tunaingia kichwa kichwa. Tunaambulia disapointment ya kuzidiana ujanja na kudhulumiana.
3) Mazoea ya kushirikiana. WaTz hatupendi fanya kazi pamoja. Ikitokea Mnafanya lazima mmoja ataona anamfaidisha mwenzake.
chasa umeongea points tupu.... pia hapa tatzo wafanyabiashara wengine wanafanya biashara zao kimagendo magendo.... ni ngumu mtu wa hivyo kukubali kuunganisha nguvu. halafu naona wengi mmeongelea makampuni makubwa tu...... hata kama una kisaluni chako kitaa na mwenzio anacho eneo hilo hilo mnaweza kuunganisha mitaji na kutoa services za nguvu. lol... ngoja nikatafte wa kuunganisha nae mtaji sasa. nice thread kwakweli.
Hapo nilipo-bold ndio sababu inayotufanya yusifike maana wengi hufikiria mitaji mikubwa bila kuangalia kipengele cha ujuzi na uzoefu matokeo yake anawekeza ela nyingi ujuzi na uzoefu hana akila loss anakata tamaa, nimependa hapo kwenye saluni za kitaa maana kama watu wataunganisha nguvu service ikawa bomba maana yake hata price itakua kubwa kutokana na mandhari mtakayokuwa mmetengeneza
chasa umeongea points tupu.... pia hapa tatzo wafanyabiashara wengine wanafanya biashara zao kimagendo magendo.... ni ngumu mtu wa hivyo kukubali kuunganisha nguvu. halafu naona wengi mmeongelea makampuni makubwa tu...... hata kama una kisaluni chako kitaa na mwenzio anacho eneo hilo hilo mnaweza kuunganisha mitaji na kutoa services za nguvu. lol... ngoja nikatafte wa kuunganisha nae mtaji sasa. nice thread kwakweli.
Si lazima awe wa salon kama wewe,unaweza kushirikiana na mtu anaefanya biashara ingine,mfano mpesa,halafu mnashirikiana kulipa kodi ya pango,kwa pamoja mnajikuta mnasaidiana kuleteana wateja na pia unajikuta unapata kipato cha kutosha kuongeza mtaji wa biashara yako kwa kupunguza gharama za uendeshaji.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
mmmh jamani; mie nimetoa mfano tu ni wapi nimesema nna saluni.
nimependa mfano wako wa MPESA. mtu unaenda kwenye kibanda unaambiwa hatuna pesa na mtaani unakuta kuna tuvibanda hata tutano unajikuta unatoa pesa kidogo kidogo kila kituo. sasa wakiungana hawa kila mtu akiweka mtaji wake hapo na kugawana mapato kulingana na share waliyoweka si watapata wateja wengi maana kituo kitakuwa cha kuaminika wanajikuta baadae kinakua kama benki.Si lazima awe wa salon kama wewe,unaweza kushirikiana na mtu anaefanya biashara ingine,mfano mpesa,halafu mnashirikiana kulipa kodi ya pango,kwa pamoja mnajikuta mnasaidiana kuleteana wateja na pia unajikuta unapata kipato cha kutosha kuongeza mtaji wa biashara yako kwa kupunguza gharama za uendeshaji.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
naogopa kuunganisha mtaji kwasababu ya yaliotokea baada yakuunganisha mtaji kupitia NICOL sasa hata siisikiitena lakini wakati ina anza tuliaidiwa mambo mengi.
chasa umeongea points tupu.... pia hapa tatzo wafanyabiashara wengine wanafanya biashara zao kimagendo magendo.... ni ngumu mtu wa hivyo kukubali kuunganisha nguvu. halafu naona wengi mmeongelea makampuni makubwa tu...... hata kama una kisaluni chako kitaa na mwenzio anacho eneo hilo hilo mnaweza kuunganisha mitaji na kutoa services za nguvu. lol... ngoja nikatafte wa kuunganisha nae mtaji sasa. nice thread kwakweli.
Hapo kwenye bold ndipo shida kubwa ilipo. Watu wanakopa benki mikopo mikubwea bila kuwa na business plans za kueleweka, au wanakuwa na business plans za kufikirika zaidi kuliko uhalisia. Ni bora kuanza na mitaji midogo midogo na kukua polepole kuliko kuanza kwa mitaji mikubwa na kufilisika baada ya muda mfupi. Kuna kampuni kadhaa ambazo zimeungana na kufanikiwa hapa Tanzania na zinafanya vizuri sana kwenye soko, ingawa nazifahamu chache. Mfano ni Chemi Industries and Cottex Industries walio Mbezi Beach Dar. Hawa walikuwa ni kampuni mbili tofauti, lakini waliungana na kufanya Sumaria Group ambao ndio wanatengeneza dawa za meno, sabuni na bidhaa za plastiki na vitu vingine vingi tu.
The best idea ever Chasha...hasa hasa sisi weusi,,,tumegawanyika kwa sababu ambazo hata hazieleweki kabisa..utaliona hili kama ukiwa karibu na hawa wa-Asia waliokulia kati yetu..wote huzungumza kuhusu kuwa kwenye 'community' fulani hivi za kwao..wakikutana jioni tender zote hugawanywa huko kwanza, wenye kuhitaji mitaji, kusomeshwa n.k husaidika huko huko...hii ikiwa na nia ya kuona jamii yote inaendelea na hakuna anayebaki nyuma..ni ngumu sana kukuta muhindi anatoa hela yake kwa mweusi kwa dili yoyote wakati kuna muhindi mwenzie anatoa hiyo service,,,
Ni kweli unasema lkn tatizo ni ubinafsi na kukosa uaminifu
Si lazima awe wa salon kama wewe,unaweza kushirikiana na mtu anaefanya biashara ingine,mfano mpesa,halafu mnashirikiana kulipa kodi ya pango,kwa pamoja mnajikuta mnasaidiana kuleteana wateja na pia unajikuta unapata kipato cha kutosha kuongeza mtaji wa biashara yako kwa kupunguza gharama za uendeshaji.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums