Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Habari za sasa wanaJf.
Mimi ni mwajiliwa mpya kwenye sekta ya afya katika salary slip yangu nakatwa PAYE 30% mshahara wangu ni above 720,000/= TUGHE nakatwa 2% NHIF 3% na NSSF 10%: Hoja yangu ni hivi TUGHE wananikata kiasi hicho kwa kazi ipi wanayonifanyia, nikiwa intern wanakosa posho hatuoni kama wako concerned nakatwa 30% kama kodi ya kichwa sioni mtu akitoa tamko hata kuionya serikali . Nimeajiriwa sioni hata kiongozi kuja kunikaribisha kama mpya na faida nitakazo zipata kama mwanachama wa TUGHE, kwa kweli nimeamua kumwagiza katibu wa kituo aache mara moja kunikata mshahara wangu kuwapa wezi hawa wa watumishi wa afya. Naomba wafanyakazi wote tuungane tutor ufisadi wa hawa watu wa TUGHE, SWALA la PAYE nitalizungumzia siku nyingine.
Mimi ni mwajiliwa mpya kwenye sekta ya afya katika salary slip yangu nakatwa PAYE 30% mshahara wangu ni above 720,000/= TUGHE nakatwa 2% NHIF 3% na NSSF 10%: Hoja yangu ni hivi TUGHE wananikata kiasi hicho kwa kazi ipi wanayonifanyia, nikiwa intern wanakosa posho hatuoni kama wako concerned nakatwa 30% kama kodi ya kichwa sioni mtu akitoa tamko hata kuionya serikali . Nimeajiriwa sioni hata kiongozi kuja kunikaribisha kama mpya na faida nitakazo zipata kama mwanachama wa TUGHE, kwa kweli nimeamua kumwagiza katibu wa kituo aache mara moja kunikata mshahara wangu kuwapa wezi hawa wa watumishi wa afya. Naomba wafanyakazi wote tuungane tutor ufisadi wa hawa watu wa TUGHE, SWALA la PAYE nitalizungumzia siku nyingine.