T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 13,107
- 30,529
Mimi sura tu ndo ugonjwa wangu kwa mwanamke.
Hizi sasa sifa khaaaaa kama analiwa nyama msambwanda wa haja huu
Huyu ni kilema wa tako mkuu si umbo la kawaida hilo
Huyo utakuta ana huruma kama nn. Kukunyima anajisikia vibaya kweli. Oa sasa ufe kwa presha.msambwanda![]()
Wamebadili tena?walianza hata mbuzi anayo jana hata mwanaume analo leo .......hakuna, wanasema tako hata mwanaume analo; mwanamke titi babu.
Mh! Yahitaji moyotoobaaaa! kama mambo ya misabwanda ndio hiv bora sura, mtoto ata hug upati!
Ila mnapata shida sana. Ndiyo maana hata ya kichina mnayatafuta. Vipi na wewe ni muathirika nini? Sababu ukiangalia comment zinaonyesha wao ni wakutumiwa ila ndani wanawekwa portableMiss chaga njoo uku leo hatuna mtetezi.
Ila hawa wote wapenda chura kwa maneno nenda wake zao uone, kweli maneno hata kwenye khanga yapo.
Wewe mtt weweNingekuwa mwanamme ningechagua mwenye Sura nzuri na kibody flani hivi portable, msambwada tupa kule kero kwangu.
kwani sula inatumikaje kwenye Gamekwani msambwanda unatumikaje kwenye game? au ni pambo tu
kwani msambwanda unatumikaje kwenye game? au ni pambo tu
Salama wadau humu ndani?
Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua kimoja.
Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka umbo na kwa sie waafrika toka kale tupo katika umbo tunamaanisha kalio lililoshiba vizuri yani msambwanda kwa lugha ya mtaani.
Lakini kwa bahati mbaya sio mara nyingi mtu hubahatika kupata seti iliyokamili, ndipo hapo napopenda kujua je kati ya binti mwenye sura nzuri lakini nyuma flat screen na binti asiye na sura nzuri ila nyuma amesheheni vizuri au ana umbo zuri upendalo utachagua yupi? Mimi binafsi msambwanda ndio ugonjwa wangu sura sio issue sana.
Karibuni wadau
Teh teh teh teh, msambwanda a.k.a bandaachen kufananisha misambwanda na vitu vya kipuuz puuzi
[emoji23] [emoji134] Mkuu Sura muhimu sana kaka
Pole sana kama hujatunukiwa churaSura, msambwanda vyote huishi navyo. Utaishi na tabia ya mtu. Ila km wa kupotezea muda basi hao wote wanafaa. Maana unaweza ukawa na huyo mwenye msambwanda lkn tabia zake ukachoka ww ukaishia ht kutoutamani